sisame
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 365
- 320
Watu wanajua hapa ni FB au whatsap sijui!! Hili jukwaa huru ni mahali ambapo mtu anakua huru kujieleza na kupumua matatizo yake, ndio maana avater zetu si za majina halisi, vibaya kutukana, mwenzetu anaomba ushauri kwann tusimsaidie!! Mungu anakuona wewe unaewatukana wenzio bila sababu!Angekuwa ametoka kutafuta mwingine ndo angekuwa amemdhalilisha lakini kama ni kutafuta ushauri ili aendelee na ndoa yake sjui kama amekosea