Recent content by JOH MCHESHI

  1. JOH MCHESHI

    Bora kufeli au kukosa mkopo???

    for real inauma,mi sioni haja ya mtu kupata 100% wakati wengine wanakosa kabisa ni bora tungegawana shida ila wote wanasoma ila mungu anamipango yake mkuu mlango mmoja ukifungwa mwingine unafunguliwa na hiz ndo challenge za maisha mkuu so usikate tamaa!
  2. JOH MCHESHI

    kwa kupewa loan... naipigia ccm kura alafu naupigia mlima Kilimanjaro kura

    Hapo bado si sekta nyeti ushaanza dalili za kuuza nchi, we badala umshukuru mungu unashukuru ccm dah unapotea ndugu,hicho si kigezo!
  3. JOH MCHESHI

    Heslb,,,tcu season is over over over

    da Presha ile ile,nimejaribu kupambana kuingia kwenye Web ya heslb saa la 24 hili bila ya mafanikio daah ful presha an!
  4. JOH MCHESHI

    Joining and fee structure ya saint joseph university in tz

    Asee mkuu medical examination form wapi naweza ipata mkuu, nimejaribu kutafuta kwenye web yao wiki ya pili sasa bila mafanikio! Naomba unisaidie hapo mkuu
  5. JOH MCHESHI

    Msaada kuhusu kozi ya daktari msaidizi (clinical assistant)

    Huwez soma hii kozi huku umemaliza kidato cha nne! Unajua hii ni Diplomaa? Mpaka umalize six tena uwe umesoma Pcb au labda Cbg .kwa form 4 ilikuwa zamani sana.
  6. JOH MCHESHI

    Mlio omba mkopo heslb angalieni hapa mjifunze mapemaaa

    Ya ukweli kinoma alikuwa na wenge toka mwanzo pointi 10 anadai ni one akati ni two.
  7. JOH MCHESHI

    Syllabus za biology,chemistry na Agriculture science "A" level.

    PHYSICS KUNA Errors n dimensions *Mechanics *heat Wave Electronics Magnetism Current electricity+static electricity Geophysics Modern physics ac CHEMISTRY KUNA General chem states of matter Thermo chem Chemical kinetics Chemical equilbrium Electro chem Environmental chem Soil...
  8. JOH MCHESHI

    Tcu wanalijua hili?

    Worry out ! Wasiliana na Hao tcu. Kama vipi save na hiyo page inayokuonesha kuwa umekuwa admited st.joseph kama tu ushahidi isije baadaye isionekane alaf waka kwambia ni uongo hukuchaguliwa! Ni mawazo yangu coz najua kuna watu kwa kuponda mawazo ya watu ni noma! Ni hayo 2!
  9. JOH MCHESHI

    Mapenzi vyuoni

    Yote mungu anapanga! Acha mbwe mbwe kijana!
  10. JOH MCHESHI

    ELEWA kuhusu HESLB.

    Mshukuru mungu
  11. JOH MCHESHI

    Tcu!!! Tcu!!! Mbona hii ajabu kwa st joseph university dsm

    Majina yote yamebandikwa kwenye notc board so tafuta mtu aliye huko akuchekie.coz yale majina ni machache tu
  12. JOH MCHESHI

    mhuu...naombeni mnipokee wana st.joseph univasity

    Daa ahsante sana mkuu ARUSHA>> SONGEA
  13. JOH MCHESHI

    mhuu...naombeni mnipokee wana st.joseph univasity

    Naomba unisaidie mkuu, ni sisi 2liochaguliwa huko ndo wa kwanza kwenye hizo kozi au kuna mwaka 2,3,4. Unaweza mjua yeyote anayesoma hukoo! Shukran sana mkuu!
  14. JOH MCHESHI

    mhuu...naombeni mnipokee wana st.joseph univasity

    da mkuu acha utani, mi nimepangwa st.joseph agricultural engineering nahisi ni songea ila sina uhakika vizuri kwa sababu sikukichagua na hawaja andika ni wapi,nisaidieni wakuu kwa sababu sijaelewa!
Back
Top Bottom