ningar big up man,,,,ni baadhi ya watu naowakubali hapa,,mimi ni s.membee ila pale kati nilibugi tuKama kawaida nipo na nitaendelea kuwepo kutoa msaada pale utakapo hitahika kama mimi nilivyo pewa msaada hapa Jamvini, thanks to all JF members
Masomo mema vjana!bht imekuwa co yangu coz bod wamenichinjia baharin na typicaly mtoto wa mkulima lcha ya kuwa niliomba priort coz!inauma sana bt no way.
ningar big up man,,,,ni baadhi ya watu naowakubali hapa,,mimi ni s.membee ila pale kati nilibugi tu
Masomo mema vjana!bht imekuwa co yangu coz bod wamenichinjia baharin na typicaly mtoto wa mkulima lcha ya kuwa niliomba priort coz!inauma sana bt no way.
Ahsante kaka,ntafight kwa kadr ya uwezo wangu utapoishia
Kama kawaida nipo na nitaendelea kuwepo kutoa msaada pale utakapo hitahika kama mimi nilivyo pewa msaada hapa Jamvini, thanks to all JF members
Usikate tamaa kijana wangu haya ni maisha yako unategemea nani atayapigania?? ni wewe mwenyewe, nachoweza kukushauri kua kama unauhakika unavigezo vya kupata mkopi wewe tafuta pesa ya semista ya kwanza hata kwa kuchangisha ndugu,jamaa na marafiki then HESLB watatoa nafasi za ku appeal nakushuri fanya hivyo ukiambatanisha vithibitisho vya ustaili wako wa kupata mkopo natumai mungu atakusaidia.
ningaR Nakukubali kaka tujuze we wapi na kama umepungukiwa kwenye loan ntakupa 500 ya kuwapigia sim heslb