Habari zenu wadau mnaofurahia kupata mkopo na mnaosikitika? Mi nipo kwa wanaosikitika japo sio wengi sana ila naungana nao sababu na mi nimekosa mkopo! Jamani maumivu ni makali sana bora ningefeli2 sahv ningeshajpanga ktambo. Sjw hata la kufanya coz mi ni mtoto wa mkulima. 2peana hata ushaur!