Recent content by Joh Mangi

  1. Joh Mangi

    Ajira nafasi ya muhasibu

    Kwani ulisoma ili ukipata kazi boss wako akulipe kwa sababu una elimu kubwa au unampatia matokeo kwenye biashara yake? Me nadhani mindset za wasomi na ambao si wasomi ziko opposite na mafanikio wanayotarajia, Mshahara haupimwi kwa ukubwa wa elimu pekee, unapimwa kwa ukubwa wa matokeo(impact)...
  2. Joh Mangi

    Ajira nafasi ya muhasibu

    NAFASI ZA KAZI MUHASIBU – WHITE PIT TRADERS WHITE PIT TRADERS tunatafuta Muhasibu mwenye uzoefu wa kazi ili ajiunge na timu yetu ya biashara. Mahitaji: Shahada au diploma ya Uhasibu (Accounting/Finance) au shahada inayohusiana Shahidi ya uhasibu (Professional Accounting Qualification) ni...
  3. Joh Mangi

    Hivi mtu anajifunza kuwa na roho mbaya?

    [emoji23][emoji23]eti cha! Umemaliza kichagga kabisa
  4. Joh Mangi

    Baadhi ya fani zenye ajira kubwa Duniani: Wazazi somesheni watoto nje Degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering

    [emoji23][emoji23][emoji23] mfumo wa elimu hauturuhusu kupata maarifa yanayoweza kutusaidia wenyewe au hata jamii iliyotuzunguka Primary tunapoteza mda na kuvurugwa masomo mengi hayaeleweki katoto kanasoma mambo mengi kanabeba ndoto mia ndani ya miaka 7 then Secondary kanasoma science au art...
  5. Joh Mangi

    GE2020 Dkt. Magufuli: Jina Langu Lipo Namba Moja, Usihangaike Kuangalia Kwingine

    Sio hoja kaka, kama mtu anajua kusoma na kuandika chama hata kikae mwisho atachagua chama na kiongozi anaemtaka
  6. Joh Mangi

    GE2020 Dkt. Magufuli: Jina Langu Lipo Namba Moja, Usihangaike Kuangalia Kwingine

    #JPM is the best president ever [emoji110]
  7. Joh Mangi

    Historia|Wasifu: Je, Benjamin William Mkapa ni nani hasa?

    Yanaelezwa na kuandikwa Kama history sema akifa ndio wengi tunapata chanzo au chachu ya kuyajua mengi zaidi ukitafuta na ukitaka kuyajua yapo Sana na yanazungumzwa Sana sema tuu hata we mwenyew haujapata sababu ya kutaka kuyajua akifa maybe unaweza unapata chanzo Cha kuyajua Kama unavyoona kwa mkapa
  8. Joh Mangi

    Historia|Wasifu: Je, Benjamin William Mkapa ni nani hasa?

    Hakukua na chachu ya kusema kabla ya kifo Mambo yenyewe yalikua yanasema Sasa sababu imepatikana acha tukumbushane mema ya marehemu
Back
Top Bottom