Mimi ni mimi, wala sifanani na yoyote, wala hatazaliwa kama mimi. Mimi ni roho (uhai) niliojificha ndani ya mwili. Ndani ya mwili kuna vitu vitatu visivyo onekana, roho, nafsi na akili. Roho ndio uhai wenyewe. Nafsi inahusika na matamanio na Akili inahusika na mamuzi. Mwili hupelekeshwa tu.
yesu ni mtu tu kama sisi tena hayupo duniani, hana uwezo wa kuponya wala kumpa mtu mali. Ukimtumaini yesu umekufuru uko pamoja na shetani, yesu hana uwezo wowote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.