Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
- Thread starter
- #41
Nilishangaa baada ya sentensi ya kwanza alivyoanza kuongea Lowassa misururu ya watu ilianza kuondoka kama vile aliyekuwa anaongea aliwatukana, kama kweli Lowassa ana akiri na anasoma alama basi aangalie hilo tukio na ajielewe watu wanamwonaje
Halafu tukiwaambia ukweli wanakimbilia kujitoa akili.