Kuna jamaa aliyapeliwa hivyo hivyo...watakuambia utume pesa. Sijui mambo ya sample. Mambo ya huhonga watu. Yaan ni matapeli. Mwisho wa siku unajikuta umebaki na vinyago vyako na hela wamechukua. Achana nao.
Mkuu hawa watu ukiwarudisha lazma warudie. Kum jamaa hapa kazini alichepuka na mke wa mtu mume kakuta sms, sasa mwanamke anamwambia mchepuko wake, "subiri jamaa hasira zake zitaisha", mambi kama haya ndo yananipa mashaka
Naandika haya ikiwa nina ushawishi wa kurudiana na mwanake aliyenisaliti kwa mwanaume mwingine.
Muda si mrefu uliyopita niliomba ushauri kuhusu mwanamke aliyesilati na hatimaye kuweka ngumu kuondoka nyumbani..nashukuru kwa ushauri mlionishauri hayimaye niliweza kumrudisha kwao japo simu na sms...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.