baghariiii
Member
- Nov 22, 2017
- 81
- 34
Nenda wachukue wrote kwani haiwezekani kupenda tunda bila kupenda ua
Inawezekana ni kufanya maamuzi magumu na udhubutu.Wewe ukaoteshe mizabibu kwenye shamba la mtu,Zabibu zikiwa tayari unataka ukavune?kweli?
Ahsante sana mkuu kwa kunifumbua machoJibu ni HAPANA. Hutathubutu hata kuripoti polisi hata kama ungemuona akiondoka nayo kwani huwezi jua ka ndo mwenye nalo. Kifupi, Huyu bwana ajinyamazie ila awe akipitia mitaa hiyo mara kwa mara. Ajifanye rafiki wa siku nyingi kwao. Ipo siku, kitanuka tu.
Nimeona wengi wakirudishwa kwao wakiwa weshabalehe. Chochote atakachotoa pale kiwe ni kwa sababu yeye ni rafiki wa hiyo familia.
Shukrani mkuu, nitafanyia kazi ushauri wako.... Ubarikiwe sanaMkuu kamarah,
Hii kesi yako ni nzito mno tena sio ya kuichukulia nyepesi namna hiyo.
Kwanza, kaa ongea na mke wa mtu na kuweka makubaliano ya kwamba mtoto akifikia umri wa miaka 15 umchukue awe wa kwako.
pili, gharama zote anza kulipia kwa ajili ya kumtunza mwanao ili hali huyo mwanamke anatambua.
tatu, jaribu kuongea na mama mkwe na mke wa mtu na kupanga mikakati kwa usiri mzito wa hali ya juu ya kwamba mtamtunza huyu mtoto na kumlea katika mazingira bora bila yeyote kufahamu kitu.
nne, mshauri huyo dada ambaye ni mke wa mtu kuwa azae na mumewe angalau watoto 5 au 6 ili baadaye akija kugundua mtoto si wake asiumie sana moyoni bali ajipe moyo kwa kuendelea kuwa nawe walio salia.....
Uongo kivipi mkuumtoto ana miezi 5 amisha jua anafanana na wewe? huo ni uongo
Hakika iliyo kuu.Jibu ni HAPANA. Hutathubutu hata kuripoti polisi hata kama ungemuona akiondoka nayo kwani huwezi jua ka ndo mwenye nalo. Kifupi, Huyu bwana ajinyamazie ila awe akipitia mitaa hiyo mara kwa mara. Ajifanye rafiki wa siku nyingi kwao. Ipo siku, kitanuka tu.
Nimeona wengi wakirudishwa kwao wakiwa weshabalehe. Chochote atakachotoa pale kiwe ni kwa sababu yeye ni rafiki wa hiyo familia.
Sio kazi kidogo ni kubwa sana, Wakili msomi...Advocates tuna kazi kweli
Hapana mkuu siwezi weka picha kwa ajili ya usalama wangu na Id yangu
Aisee!! Dunia ina mengi sana! Hivi mwanamke hadi unatoka kwenda kulala na mwanaume mwingine,kwamba mumeo hakutoshi??! Navaa viatu vya huyo mumewe anavyolea huyo mtoto kwa mapenzi makubwa akijua ni wake huku mkewe akiwa anamnn'gong'a kisogo !