Hapana . Misri iliyokuwa na lugha yake na elimu yake ya juu kwa wakati huo hasa wakati wa farao anayesemwa kwenye biblia kuwatumikisha waisraeli walikua waaafrica watu weusi . Waarabu walikuja misri baada ya vita ya roman empire kuivamia misri na kushindwa .
Kitabu cha stolen legacy of africa...
Ni jambo la kuhuzunisha na la aibu kuona kwa karne hii ambayo maendeleo ya elimu na teknolojia yamekua kwa kiasi kikubwa sana.
Lakini bado nchi kama yetu Tanzania na huko Zambia wananchi bado wanasumbuliwa na ugonjwa unaotokana na uchafu. Usafi ni ishara mojawapo ya ustarabu wa mwanadamu...
Hii hapa nakubaliana na wewe. Kuna kipindi katika kuzurura zurura nilibahatika kufika katika jiji la helsiniki. Ninachoweza kusema wale majamaa wana ustaraabu wa kiwango cha juu sana. Kuanzia kwenye usafiri wa umma hadi kwenye matumizi ya huduma kijamii zingine kama washrooms sehemu za...
Umesema udsm nilienda hapo juzi maeneo ya coet washrooms ni chafu sana hapa ni chuo kikuu au shule ya msingi ? . Hospitali ya taifa muhimbili washrooms ni chafu sana . Kwa kweli uchafu kwa huduma za washrooms nchini ni janga kwa taifa.
Nini kifanyake maana hii hali inapelekea maambukizi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.