Wasanii nisehemu ya kampeni. Jiulize kwann kwa lisu hawaendi?
Basi ulitaka wasanii wakatazwe kumwimbia magufuli? Mbona walifanya HV yo kabla yakampen? Fumbua macho uone ilikuwaje Kala ya kampen
Narudia tena, Mimi na mpinga LISU, nantamchagua MAGUFULI, zile sababu zangu tano tu! ,Zinatosha Sana kumpinga LISU 100%.
Nasubiri tarehe tu si kadi niyakwangu?Na moyo wakwangu?! Tuombe uhai kwa Mwenyezi Mung u.
Mungu yupi wakumbariki?aliyliyeMpinga mtu aliyemtanguliza MUNGU kpnd cha COVID19. Me nasema MUNGU Msamehe Huyu LISU maana hajui alitendalo, umekwakoa na Risasi sta bado hakupi wee nafasi nafsinimwake. Mwenyez mrehemu MTU huyu
Nami ntakuuliza swali, HV unaweza kumchagua mweza kwa uzingtia ahadi anazokupa zakuvutia na kukupendeza ? HV unatakiwa kuzingatia nini vya Mhm ktk nyanja hyo ya Muhimu ? Maana najuwa wengi wanapewa ahadi wanakubali lkn banda ya ndoa wiki haiishi vilio na kuomba taraka . ukijibu ntajibu
Nimefulahi kwa ulivyotiririka point zote hzo 9 badala ya tano kuu , nkakumbuka wanafunzi wengi wasiomakini ktk mtihani wanaambiwa sehemu sehebu B Jibu moja tu! Chaajabu wapo wanayojibu yotee.
1. Mpinga MUNGU na anayemtegemea MUNGU.
Yaani mpaka Leo anapigia nyomi kampeni hasemi Kuwa...
Mtu anasemaUDSM nijalala, hapo alipo unakuta alifight kupata admission hap akakosa na istoshe anashinikiza ndugu na jaamaa Waombe admission hpo. Tusiwe washika dau jmn
Yeye YESU AMEBEBA VYOTE HIVYO, Moyo wa mwadam kufanya hayo yote ningum Sana na haiwezekan kufit kwenye vngere vyote vilvyo orodheshwa na vingine havjaorodheshwa. So kuwa na Huyu YESU unaweza kufit zaidi ya ha yo yooote
Nikiwa sina dhima ya uchochezi jambo hli nililoliona na kulisikia, kuwa imepangwa wanafunzi wa chuo kikuu X na wengineo watafanya mgomo baridi wa kutoingia madarasani wiki nzima kuanzia wiki ijayo,chanzo kilichoelezwa ni kupunguziwa kiasi cha stahikizi kwa wanufaika wa bodi ya mikopo HESLB...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.