OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,715
kipindi kama hiki ndo nilielewa CCM sio chama kizuri
Ungeanza wewe kwa kuwa unapeleka kwenye group lenu ya VICOBA mada zenu, na wenzako za siasa kuwa wanapeleka kwenye magroup yao ya vyamaMada zenu za vyuoni,pelekeni kwenye magroup yenu ya whatsApp na umoja wenu vyuoni.
Ungeanza wewe kwa kuwa unapeleka kwenye group lenu ya VICOBA mada zenu, na wenzako za siasa kuwa wanapeleka kwenye magroup yao ya vyama
Kama kweli unawaza hivyo Basi badala ya kusubiri upigwe risasi, we nenda Benji ukajifanye unapora less yao, usituingizie frustration zako sisi tunaendelea kupiga shule! Au nenda kaishi Somalia!Habari wakuu!
Hakuna kitu kinaniuma mpaka sasa Kama kukatwa pesa ya kujikimu kwa wanafunzi wa chuo kikuu. Sana sana maswali yanaumiza kichwa changu Ni Kama ifuatavyo:
1. Kwanini vijana wa siku hizi Ni waoga wa kudai haki zetu..
ya bure???? we jamaa ya bure??Wewe ulitaka bei gani? tena ushukuru kuipata hiyo pesa ya bure kuna wenzio wanasoma Kwa shida sana.
Unataka tuandamane?Habari wakuu!
Hakuna kitu kinaniuma mpaka sasa Kama kukatwa pesa ya kujikimu kwa wanafunzi wa chuo kikuu. Sana sana maswali yanaumiza kichwa changu Ni Kama ifuatavyo:
1. Kwanini vijana wa siku hizi Ni waoga wa kudai haki zetu
2. Madeni tuliyonayo chuoni tutamaliza vipi?...
Wewe hujui maumivu tunayoyapa weweKama kweli unawaza hivyo Basi badala ya kusubiri upigwe risasi, we nenda Benji ukajifanye unapora less yao, usituingizie frustration zako sisi tunaendelea kupiga shule! Au nenda kaishi Somalia!
Napigia mstariNaunga mkono hoja.
Wewe hujui maumivu tunayoyapa wewe
Tuliwahi kukaa chuoni wiki sita kamili but tulilipwa 526,000/= na haikuwa bahati mbaya!!