akatanyukuile
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 314
- 308
Kiukweli lusu ana nafas kubwa kuahinda kiti hiki ila ccm ineisha aamua liwalo na liwe kama kumwaga dam ipo tiyar kumwaga, fuatilia mchakato mzima unavoenda ccm imetumia ubabe mwaingi sana ila bado hali ni tete. Mpaka msgufuli kaanza kuweweseka kabusa maneno anayoyaobgea nikama kashakata tamaa, yaan kiufupi magu nimweupe kwenye siasa lisu ni mwanasiasa na ni mpinzani damu acha vilowasa ambavyo viliegeshwa tu kuharibu chama. ..tukutane 28 hakika hasira zangu nitazimalizia hapo. Hivi anatisha watu eti hatashinda tunasema heri kuweka kwenye kiriba kinachovuja maana kipya kimejaa shombo.