Recent content by Joel Ezekiel

  1. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    wanajf naomba mnisaidie, mi m2mishi nimebadishana kituo cha kazi lakin mpaka sasa miezi nane taarifa hawajaamisha kijital ila data sheet nilisichukua na kupeleka halmashauri niliohamia, naomben ushauri mana ahad zmezd kila nikiwasiliana na wale wa halmashauri nilikotoka bila mafanikio
  2. J

    walimu mtakomaa mwakaa huu!

    ni nzuri lkn cwt na tsd ife kwanza la sivyo walimu mtaendelea kurutubisha bila faida unaopata Mwalimu
  3. J

    Maji ya nazi

    du mtoto atachanganyikiwa kabla ya hata kutamka neno
  4. J

    Waumini bwana.....!!!!!!!

    hayo maji yatakuwa ya uzima au ya pombe
  5. J

    Utajuaje amenunua simu jana?

    anakubp ukipigia anakuambia nilikuwa nakusalimia
  6. J

    wanaume!!nimewanyooshea mikono

    Ukipenda vya bure utajuta zaliwa 'be care'
  7. J

    Nipokeeni jamani

    Mimi ni mgeni jamani kwenye nipokeen jaman wana JF wenzangu
Back
Top Bottom