pantheraleo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 692
- 887
Hahahaaaa....Mtoto ataishia KUWIKA badala ya kuongea
Hahahaaaa....Mtoto ataishia KUWIKA badala ya kuongea
ni kweli. changanya na kiroba 1.
Kweli we Facilitator
Kiroba kitamfanya aongee kidhungu!sikiliza wewe ,ukitaka mwanao aongee haraka njia bora na nyepesi kwanza ilitakiwa uongee nae lugha fasaha since day one (hakuelewi lakini anakusikia) baada ya hapo uwe unawasiliana nae kwa ufasaha epuka kumuiga anapoongea vibaya usimwambie maneno kama 'oto iyo= moto huo' 'taka mma' taka jojoa na kadhalika.Kiroba cha nini?
itakuwa ni kiroba jogoo.
Kiroba kitamfanya aongee kidhungu!sikiliza wewe ,ukitaka mwanao aongee haraka njia bora na nyepesi kwanza ilitakiwa uongee nae lugha fasaha since day one (hakuelewi lakini anakusikia) baada ya hapo uwe unawasiliana nae kwa ufasaha epuka kumuiga anapoongea vibaya usimwambie maneno kama 'oto iyo= moto huo' 'taka mma' taka jojoa na kadhalika.
wazazi wengi hufanya makosa hapo-kabinti kangu by the time she was few months shy to 2yrs she could almost speak any word be it swahili or english ,she can pronounce them!
In short ongea na mwanao kama unaongea na mtu mzima mwenzako!
Naona mleta mada amekuja na style ya kipekee katika kuhamasisha KILIMO CHA MINAZI kwa familia na mikoa wasiojua zao hilo.
Ingependeza zaidi ukiendelea kubuni na njia mbadala za utokomezaji mihadarati, rushwa na ufisadi..! Big up NAZI OYEE..!?
Mwaka mmoja hajachelewa kabisa kuongea, cha kuangalia ni kama mtoto yuko alert,anafanya kelele zile za watoto
(Baby talk) sounds zinaita attention yake maneno yatakuja baadaye.
Kiroba kitamfanya aongee kidhungu!sikiliza wewe ,ukitaka mwanao aongee haraka njia bora na nyepesi kwanza ilitakiwa uongee nae lugha fasaha since day one (hakuelewi lakini anakusikia) baada ya hapo uwe unawasiliana nae kwa ufasaha epuka kumuiga anapoongea vibaya usimwambie maneno kama 'oto iyo= moto huo' 'taka mma' taka jojoa na kadhalika.
wazazi wengi hufanya makosa hapo-kabinti kangu by the time she was few months shy to 2yrs she could almost speak any word be it swahili or english ,she can pronounce them!
In short ongea na mwanao kama unaongea na mtu mzima mwenzako!
Maji ya nazi yana kirutubisho kinachoitwa Segmolynisis ambacho huongoza sehemu ya ubongo inagocontrol vocal kurelease gamitrogen ambayo huharakisha speech segment kwenye ubongo kurelease hamitopilin ambayo humfanya mtoto kuongea mapema. Ila wengi wao huwa mataahira coz segmolynisis hufanya waongee ujinga hata wasiojua...mama muuza nipe nusu tafadhari...lara 1 vp beib weekend iliishaje???!!!
ni kweli. changanya na kiroba 1.