Recent content by joeeliie

  1. J

    Spika Ndugai njiani kusababisha hasara kwa Taifa na kilio kwa Mtaturu

    Issue ya fedha inaweza ikawa siyo shida kubwa sana kwa kuwa Mtatiro hawezi kulazimishwa kurejesha fedha hizo kwa sababu kimsingi siyo kosa lake. Ikitokea shauri lililoko mahakamani likawaendea vizuri upande wa Lissu, jambo baya sana litakaloojitokeza ni aibu kwa chombo kikubwa kama Bunge...
  2. J

    Uingereza yasema ATCL kufanya safari zake nchini humo ni fursa ya kiuchumi

    Kwa hali ya uchumi wa Tanzania tunaweza kuwa na wateja wangapi wa moja kwa moja wa kwenda U.K kwa wiki. Hata tukijumlisha na Zanzibar, Comoro, DRC? BA walisimamisha route hii kwa sababu waliona inawapa hasara.Je soko limebadilika kiasi hiki kuruhusu new entrant. We should approach this...
  3. J

    Mawakili wa Serikali wadai ndege inayoshikiliwa Afrika Kusini ni ndege inayotumiwa na Rais Magufuli

    Kushikiliwa kwa ndege hiyo ni aina ya shinikizo ili deni linalodaiwa lilipwe... kwa kusema ndege inatumiwa na Mheshimiwa Raisi si ndiyo tumewapa nguvu ili shinikizo lao lipate nguvu? Nafikiri cha muhimu ni kesi ya msingi. Je madai haya yana uhalali wa kisheria? Kuna uwezekano wa kuzungumza nje...
  4. J

    Waandamanaji wavamia Ubalozi wa Afrika Kusini kudai kuachiwa kwa ndege ya Tanzania. Watatu wakamatwa wakidaiwa kuwa viongozi

    We need a bit a patience as our legal team is still in SA sorting out this issue.This kind of behavior shows the kind of people we are. No one would impound someone's aircraft for no reason.
  5. J

    Bashe akijiandaa kuondoka baada ya kuapishwa

    Kama alimsikiliza vyema Rais leo aelewe tu kuwa kazi aliyopewa imekaa kimtego. Michango yake bungeni ya kukosoa ndio imemfanya mkuu kumpatia hiyo kazi, na hivyo atttention itakuwa kubwa sana kwake
  6. J

    Rais Magufuli huhitaji kujieleza unapomtoa Waziri. Kwa January Makamba jikalie kimya

    Environmental Impact Assessment ni zoezi la kitaalam ambalo hufanywa kabla ya mradi kuanza kubaini vihatarishi vya ki-mazingira na kijamii vinavyoweza kujitokeza kama mradi fulani utatekekelezwa. Zoezi hili hutoa mapendekezo ya kukabiliana na changamoto hizo " Environmental Management Plan"...
  7. J

    Naomba nielimishwe tofauti ya Ziara Binafsi, ya Kitaifa / Kiserikali na ya ile ya Kikazi ya Marais duniani

    Ziara za kibinafsi... ila mapokezi yanakuwa makubwa hadi wakuu wa idara nyeti za serikali, wakuu wa mikoa jirani, gwaride, na hotuba
  8. J

    Rekodi Mpya: Mauzo ya hisa katika Soko la hisa (DSE), yameshuka kwa asilimia 91 mwezi huu.

    Underlying Factors affecting the Stock Market Economic growth. Higher economic growth or better prospects for growth will help firms be more profitable because there will be more demand for goods and services. This will help boost company dividends and therefore share prices. Interest rates...
  9. J

    Rais Magufuli amzawadia Rais Kenyatta ndege Tausi wanne

    A question of interest: Hivi Kenya hawana ndege aina ya tausi
  10. J

    Ndoa ya mtoto wa Kagame yasimamisha shughuli zote za kiuchumi hapa Rwanda!

    Usilaumu bila kujua katiba ya nchi hiyo inasemaje kuhusu stahiki za Rais na familia yake. Kwa mfano, Waingereza pamoja na maendeleo na ustaarabu wao wote, linapokuja suala la Royal family utashangaa. These are cultural issues na nchi haiwezi kurudi nyuma kimaendeleo kwa issue ya masaa machache...
  11. J

    Barua za Spika Ndugai kuomba mchango wa 200m ilikuwa ni kwaajili ya Wabunge au Taifa stars?

    Taasisi kama TTB ina some line in their budgets kwa ajili ya CSR
  12. J

    Barua za Spika Ndugai kuomba mchango wa 200m ilikuwa ni kwaajili ya Wabunge au Taifa stars?

    Makonda alidai kuwa taasisi moja ilichangisha fedha kwa jili ya gharama za timu. Barua ya Spika kwenda TTB inaeleza bayana kuwa mchango unaoombwa ni kwa ajili ya gharama za wabunge kwenda kushiriki kuhamasisha timu. Sidhani kama mambo haya yanafanana kwa namna yoyote
  13. J

    ATCL lazima ife tu kama mtu mmoja amefikia hatua ya kwenda "kutanua" na Airbus kijijini kwao

    Raisi anapotumia ndege ya shirika la kibiashara la nchi kwa safari zake analipia, Ofisi ya Raisi ina budget kwa ajili ya safari za Mheshimiwa raisi.
  14. J

    Tukio hili la Bernad Membe linaashiria nini?

    Kuna mzee mmoja marehemu R.I.P Jackson Makweta aliwahi kusema siasa ni kama upele huwasa wasa na ukiwashwa lazima ujikune
  15. J

    Rais Felix Tshisekedi wa DR Congo kuwasili nchini Juni 13, 2019

    This is a very right approach to Tanzania. Tanzania economic cooperation is definitely in the South than North. It has a great hinterland in the south with big economies of Zambia, Malawi, and definitely DRC. Seriously we urgently need to strengthen cooperation with this block.
Back
Top Bottom