Sijamsikia popote Rais Magufuli akitaja sababu za kumtumbua January. Ni kama vile unamlisha maneno!
VIDEO: Magufuli abainisha sababu ya kumng’oa Makamba
Rais wa Tanzania, John Magufuli ametaja changamoto zilizochukua muda mrefu kutekelezwa katika Wizara ya Nchi katika Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira na Muungano) ikiwa ni siku moja baada ya...
www.mwananchi.co.tz