Hakika kuna riwaya ziliukonga moyo wangu lkn bado hizi nitazikumbuka daima ,Kikosi cha kisasi,Njama,Kufa na kupona,RosaMistika,Dunia Uwanja wa Fujo,Alfu lela ulela ,nakumbuka nilikuwa mdogo lkn Dada zangu walikuwa na vitabu hivi na ndio walinifanya nipende kuvisoma,na pia enzi hizo gazeti la...