Recent content by Jobless_Billionaire

  1. Jobless_Billionaire

    Hekima

    Uzi tayari.
  2. Jobless_Billionaire

    Mimi ni mlevi wa kutazama vipindi vya wanyama ila huyu mnyama simpendi

    Hata yeye hakupendi mkuu. Nimeona kwenye JF ya wanyama kaweka uzi wa kukuchukia
  3. Jobless_Billionaire

    Je ni sahihi mwanaume kunyonywa chuchu wakati wa kufanya mapenzi?

    Ngoja nikafungue uzi wetu wa sie asilimia 48
  4. Jobless_Billionaire

    Je ni sahihi mwanaume kunyonywa chuchu wakati wa kufanya mapenzi?

    Ni kama vile simulizi ya kawaida ila element ni za ushoga
  5. Jobless_Billionaire

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Jifunze kuheshimu jitihada za watu, acha kusema goli la papatu papatu. Mbona wao hawajalipata kama papatu ni rahisi hivyo? Lengo ni kufungwa, haijalishi umefungwaje. Kama ni rahisi kupapatua jiulize mbona wao hawajapapatua wakapata. Hata pia ukisema wamebahatisha basi ujue bahati ilikuwa...
  6. Jobless_Billionaire

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ligi ziliisha mkanenepa mno. Ngoja sasa mkatwe wese na kanji
  7. Jobless_Billionaire

    Subiri tuone tunakoelekea uchaguzi huu

    Wapi nimekwambia nataka wafurahie?
  8. Jobless_Billionaire

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu hiyo vpn ni kwa ajili ya free internet?
  9. Jobless_Billionaire

    Subiri tuone tunakoelekea uchaguzi huu

    Watu wanafurahia mabaiskeli tu 😡😡😡
  10. Jobless_Billionaire

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Unabeti vizuri tu wachezaji wasibashiane, unashangaa mtu anapakatiwa angani ili usile hela tu. Yaani haya maisha haya...
  11. Jobless_Billionaire

    Kwanini mikoa ya pwani inaoenakana kuwa ni hub kubwa ya vidume walio chapati?

    Kuna mamlaka inaweza kutoka hadharani kuthibitisha takwimu za mambo haya kwa nchi yetu?
Back
Top Bottom