Habari za Wakati huu Watanzania Wenzangu, naomba niende kwenye mada husika. Nina mtaji wa 200,000 nataka nianze biashara ya Magazeti Ya Kufungia bidhaa, naomba kujuzwa bei zake za jumla Dar Es Salaam Mimi nipo mkoa wa Njombe.
Natanguliza Shukrani zangu za Dhati kwenu.
Habari za Wakati huu Watanzania wenzangu, natumai mnaendelea vema kabisa na majukumu ya ujenzi wa Taifa Letu Pendwa. Naoma niende moja kwa moja kwenye mada.
Nimepata wazo la kuanza kutengeneza Sabuni za Maji za Kufulia, Kuoshea Sakafu/tiles, na za Kuoshea magari. Naomba kujuzwa bei ya...
Wazo zuri sana Ndugu yangu. Na ukifanikiwa huko unaweza pia tujuza namna ya kuomba na sisi Jobless Youth ili tujenge Taifa letu pendwa la la Tanzania. [emoji120][emoji120]
Habari wakuu,
Naomba mwenye publication yeyote inayohusu hiyo historia naomba msaada nimevutiwa kuyafahamu kiundani matukio haya.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.