Jobless Graduate2021
Member
- Aug 15, 2021
- 49
- 45
Habari za Wakati huu Watanzania wenzangu, natumai mnaendelea vema kabisa na majukumu ya ujenzi wa Taifa Letu Pendwa. Naoma niende moja kwa moja kwenye mada.
Nimepata wazo la kuanza kutengeneza Sabuni za Maji za Kufulia, Kuoshea Sakafu/tiles, na za Kuoshea magari. Naomba kujuzwa bei ya Vifungashio vya ujazo wa lita 1, lita 5 na lita 3 wataalamu wanifahamishe kuhusu hili Jambo.
Natanguliza Shukrani zangu za Dhati!!
Nimepata wazo la kuanza kutengeneza Sabuni za Maji za Kufulia, Kuoshea Sakafu/tiles, na za Kuoshea magari. Naomba kujuzwa bei ya Vifungashio vya ujazo wa lita 1, lita 5 na lita 3 wataalamu wanifahamishe kuhusu hili Jambo.
Natanguliza Shukrani zangu za Dhati!!