Recent content by jobbmoffat

  1. jobbmoffat

    KENYA: Koffi Olomide ampiga mateke mnenguaji wa kike baada ya kutua jijini Nairobi

    Mkuu wewe comments zako ni za kujipendekeza kwa wanaume?
  2. jobbmoffat

    Wapenzi kukutana mitandaoni wanakuwa na mapenzi ya kweli?

    Bila kujali sehem unayokutana na mwanaume ,, anaweza kuwa mkweli au mwongo, hujawai sikia wanakwaya wanagegedana na wala si wana ndoa!? lakini wamekutana kanisani. Kumbaini mwongo na mwenyewe future na wewe hiyo ni kazi nyingine lakini wapi ukutane na mwanaume mkweli... hakuna sehem maalum...
  3. jobbmoffat

    Mbona simuoni wa kuwatetea ndugu zetu walimu?

    Bado tu hujakua? Uko humu JF lakini hujui kazi za wanajeshi!? Hebu fikiria ndo tumekupa hii nchi na wewe hujui kazi za jeshi ,,,si utauza nchi hii wewe?!
  4. jobbmoffat

    Mbona simuoni wa kuwatetea ndugu zetu walimu?

    We unadhani sababu ni nini mh.
  5. jobbmoffat

    KENYA: Koffi Olomide ampiga mateke mnenguaji wa kike baada ya kutua jijini Nairobi

    Usimtazame mwanamke kwa ukatili, Mwanamke anatakiwa kuonewa huruma, Mi nikikukuta unampiga mwanamke hata kama ndo ulikuwa unamrudishia baada ya yeye kukubonda na kitu.... ntakumaindi wewe , nitamsaidia mwanamke.
  6. jobbmoffat

    Viapo Vya Wakurugenzi: Rais Magufuli ameteua Wasomi, aagiza Serikali itumie EFD, Wagawa vyeo kukiona

    Angalau sasa wimbo wa ufisadi uliovuma sana mifomoni mwa wengi sasa umepungua sana,,,,,hii ni hatua moja kubwa katika kuweka misingi imara ya utendaji kazi kwa uadilifu. Halafu matatizo mengine naamini yatashughulikiwa kwani mkuu wa kaya ana dhamira safi na nchi yetu.
  7. jobbmoffat

    Kisasi: Mke wa Boss ndani ya 18 zangu

    Utamkomesha ikiwa tu baada ya kutembea na mkewe halafu unamwambia kuwa umeshamtafunia my wife wake.... Mda huo unauhakika umefaulu interview sehem nyingine.
  8. jobbmoffat

    Series (Special thread)

    Hivi humu hakuna aliyewai angalia " Once Upon the Time" Akina Regina Mills. Mr Hook Mr Gold ( Rumpelstiltskin) Emma David Bila kumsahau Mr. Pan who never fails
  9. jobbmoffat

    Lowassa apigiwa saluti Kenya

    Uccm na ucdm wenu unawakwaza wasioshabikia vyama, Imefika wakati kuna watu hawaamini kama inawezekana mtu asishabikie chama chochote ,, hii ipo hasa vichwani mwa waliokunywa maji ya bendera zao. Ila hasara ni kwamba mnashindwa kuchukua michango chanya kutoka kwa watu wasioshabikia...
  10. jobbmoffat

    Kuwatumia watalaam toka Rwanda ni kudharau watalaam wa Tanzania

    KAZI YA UPINZANI NI KUPINGA,,,,,
  11. jobbmoffat

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Go JPM ,,, unafanya vema kabisa , tuna imani nawe.
  12. jobbmoffat

    Rais Magufuli kwa hali hii, Lowassa 2020 ataingia ikulu kwa mikono safi

    Mkuu likizo imeisha, twende kazini
  13. jobbmoffat

    Rais Magufuli kwa hali hii, Lowassa 2020 ataingia ikulu kwa mikono safi

    Umeandika mada yako kwa amani bila kubugudhiwa kadri ulivyotaka lakini bado unasema democracy inabinywa ,,, usingizi wako ni mzito sana ndugu.
Back
Top Bottom