Recent content by Joash Sospeter

  1. J

    JamiiForums Tanzania Rekodi yangu bora kimasomo haijaniwezesha kupata ajira. Naathirika Kisaikolojia

    Mimi pia shuleni nilikuwa nafaulu na sifa yangu nyingine nilikuwa muombaji nakumbuka nilishawahi hadi kumuombea mkuu wa shule alipopagawa na pepo lakini yote hayo hewa tu sina ajira hadi sasa
  2. J

    JamiiForums Tanzania Hivi ni Mimi tu mambo yanayoendelea nchini yanasababisha nijione mgeni?

    Nauliza kama ni mimi ndiyo naonekana mgeni nchini peke yangu au tupo wengi. Nauliza hivi kwa sababu nimezaliwa katika enzi za Mwinyi mwishoni mwishoni, hivyo kuanzia enzi za Mkapa ndipo nikaanza kujua siasa za nchi yangu kidogo kidogo na enzi za Kikwete ndipo nikaanza kujua vingi kidogo na hadi...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

    mna wasiwasi tu wa bure yule ni jiwe hatingishiki hovyohovyo hata kwa ugonjwa
  4. J

    JamiiForums Tanzania Watendaji wa kata wote nchini kwenda Ikulu Dar, Septemba 2

    hapo lengo ni kuwapa mafunzo na maagizo ya namna ya kuiba kura na kuitangaza fcm kweny chaguzi za mitaa
  5. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini Bageni amehukumiwa kunyongwa peke yake kati ya watu 13 alioshitakiwa nao...

    Hiyo inaitwa Andhar Kanoon kwa kihindi yaani sheria kipofu
  6. J

    JamiiForums Tanzania Pale Waziri anayeshughulikia Muungano anaposema hajui kuhusu Muungano

    Mi nazani Waziri yupo sahihi hajataka kuwa mnafiki ni kweli hajui na kama hajui inatupa uhalisia wa ujuzi wa aliyemteua
  7. J

    JamiiForums Tanzania Mbuga ya Burigi Chato

    Kuna mbuga flani huko Chato nasikia haina wanyama pindi wakihitajika wanaletwa na magari afu wanarudishwa
  8. J

    JamiiForums Tanzania Furaha yenu izidi kuimarika

    Mwanafalsafa wa Ugiriki aitwae Democritus aliwahi kusema kuwa "happiness of the man should not be upon the things of the world because the things and treasures of the world come and go, rather the happiness of the man should be upon his inner dignity" Democritus alimaanisha kuwa furaha ya mtu...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Watangazaji wa Clouds 360 wawashambulia Lissu na Zitto kwa kukosa uzalendo na kutumika kama vibaraka wa Wakoloni

    Watangazaji hao wanachokifanya ni kujipendekeza ili waonwe maana kuna mwenzao alionwa akapewa ukuu wa wilaya Sent using Jamii Forums mobile app
  10. J

    JamiiForums Tanzania Je, wajua kuwa ulaya ipo mbali yetu kwa miaka zaidi ya 100?

    Ukatae ukubali lakini ukweli utabaki kuwa Ulaya ipo mbele yetu kwa zaidi ya miaka elfu moja yaani zaidi ya karne.Nasema hivi kwasababu vitu tunavyoviona kama ujanja kwetu kwao vilikuwa vya kipumbavu karne moja iliyopita. Mwaka 1844 mwandishi wa Norway aitwaye Henrick Ibsen aliandika kitabu...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Nahau za Nape: Mkulima, nyani na mahindi

    Nyani ni serikali mkulima ni wapinzani ambao nyani anatamani wasiwepo halafu mahindi ni misaada kumbe pengine serikali inasahau kuwa misaada inayopata inayosaidia kwny bajet zinatokana na kwamba kuna vyama vingi ishara ya demokrasia sasa siku wakiua upinzani hiyo misaada wanayopata japo kidogo...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Viongozi wanakosa utu kwa ajili ya kulinda madaraka yao

    Utu ni zaidi ya utaifa,ukabila,udini na hata uchama. Kiukweli kinachofanywa na baadhi ya viongozi wetu wa nchi hii havipaswi kushabikiwa na watu wenye utu. Kuna wakati nashangaa baadhi ya watu wanaoishi kwa kujidhania kana kwamba hawatakufa. Hata kama adui yako ulimtakia kufa lakini baada ya...
Back
Top Bottom