I'm not so good at using JF but what i know is JF doesnt allow external links. Am not sure if i put an email will be treated as a link(i think so) or what. So to put the matter straight i used the company no. To collect details.
Thanks
Job description
Mobisol is one of the world’s leading companies for Solar Home Systems with approximately 700 passionate employees, delivering a clean and affordable alternative to fossil fuels for low-income households (living without access to reliable energy). Our dedicated product line...
mara nyingi kinachowafanya watu wengi wakose internship n1 mbinu za kuomba internship. huendi kuomba internship hivihivi tu. You must lay value on the table! hata watu wengi wanakosa nafasi za kazi kwasababu ya hili
stay tuned next week nitaupdate kuhusu namna ya kutafuta internship
yes kupata internship sio swala dogo. ila ukiwa na courage and persistant, intern utapata tu! i bet in 180 days stay tuned next week nitaandika uzi kuhusu jinsi ya kupata internship
kwa ujumla swala la kutafuta kazi halijawahi kuwa rahisi, hata enzi za JK mambo yalikuwa magumu. Kijana anayetafuta kazi anapaswa kuwa na uvumilivu mwingi angalau baada ya kumaliza chuo atumie miaka miwili kuangalia ni wapi anaweza kwenda na kunaweza kumpa manufaa ya muda mrefu, kujitafutia...
kabisa kaka kupata internship sio kitu kidogo, na ndio maana nimeacha tu digest hili la leo then next week nitatoa mbinu za kutafuta internship ni rahisi!
unaweza pia ku WhatsApp 0621151090 niweze kuku update na makala hiyo
Habari zenu wana JF
Leo nataka kushare na nyinyi sababu kuu inayowafanya kundi hili liwe kwenye wakati mgumu sana kupata kazi na njia wanazoweza kutumia kupata ajira kwa urahisi zaidi.
Kwa kuanza, “waliomaliza chuo” namaanisha watu wanaoingia kwenye soko la ajira bila ya uzoefu wowote yaani...
nimeona hii kwenye fb page yao leo
"
Elite Career Choices
September 18 at 10:56am ·
NOTICE ON FALSE AND FABRICATED ADVERTISEMENTS
Dear our esteemed members and subscribers of ELITE CAREERS CHOICES,
Currently there are advertisements circulating around the social media calling people to attend...
Kaka, stori ya utata wa kifo cha kenedy kila mtu anafahamu... Ht nenda kugoogle ss hvi utapata stori kbao kuhusu swala hlo, mm nimeshasoma kitabu chke ch page 400. Kinachomfanya bold awe wa pekee ni vtu viwili vikuu... Cha kwanza anatumia lugha mama.. Ni ngumu sana kwenda google kukuta makala...
Labda kama nmeeleweka vbaya uniwie radhi... Nlichoomaanisha kufananisha na open source ni.. Free distribution hlo ni moja mbili.. Mtumiaji anaweza kuifanya au ku costumize hle softoware anavyotaka... Na tatu yy pia anaweza kuidistribute ansvyotaka... Ndivyo mkuu the bold anafanya pia...
Ni sawa kazi inaanza kulindwa pale tu anapoanza kuandika. Swali ni je, uthibitisho uko wapi kwamba yeye ndie alieanza kuandika? where is the justification that he is the original author? broo.. Bla uthibitisho wa kimaandishi haswa hawezi kutetea kwamba kazi ni yake... Ni ngumu mno kaka...
Mm naomba nikushauri hvi.
Wewe unawashtaki unauthibitisho gani makali hzo ni zako... Kunasehemu yeyto umeandika ' terms of use' au 'copyright' mahakamani hata kama unayo haki itakua ngumu kushnda broo kwasabb huna uthibitisho wowote kwamba kami ni yako... Mwenye makosa ni ww kwasabab umeamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.