Aisee mbona unaongea kwa lugha nyepesi kama vile hilo unalolifanya ni kawaida kwenye uislam kaka. Ni sawa tunafanya dhambi mbalimbali kama waislam lakini nakushairi usijivunie dhambi hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli hivi sasa imani yangu ipo GBP tena huwa naweka maeneo ya nyumbani mbagala tu. Inauma sana tena sana uweke vijimafuta vyako vya 20000 na umeshafanya makadirio yako kisha matarajio yanakuwa sio. Ni heri nipotezee hiyo 20000 kuliko kuibiwa kwenye mafuta.
Haya yote ni shida ya sisi watanzania kutopenda kufanya kazi. Inakuaje mfanyakazi wa crdb kitengo cha huduma unashindwa kumsaidia mteja juu ya shida ambayo kila siku ndio kero unazoletewa kwenye meza yako?. Hatutaki kuvishughulisha vichwa vyetu, hatutaki kujifunza vitu vipya, hatuna mahaba na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.