Kanda ya ziwa kwa ujumlaYani ata kabla ya kumaliza kusoma post yako, nilihisi utakua jamaa kutoka mwanza tu wew, maana majina ya michezo na mtililiko mzima una utofauti na sehemu zingine.
Shukrani kwa ukumbusho.
hyo 12 siku hiz haipo kabisa mkuu ladba kijijiniIlishakuwepo hapa umeirudia tu.
Hata hivyo namba 7,8,12 na 15 bado yapo...
Dah mkuu, kwenye kwenda kushika mti ni balaaaaaa, utapigia kweli kweli dah.Kucheza kamari ya mabetri na gololi,mpira wa visoda,nduti,kuendesha ringi na magari ya waya,box na mbao,kushinda kukojoa mkojo mrefu,dobo dunda au tobo dunda,mchezo wa wali na nyama mnaweka kimlima cha mchanga na kijiti katikati mnaanza kuupunguza mchanga olewako ukiangushe kijiti ni mkong'oto mpaka ukimbie kushika mahali mlipo pateuwa,kucheza sembo(mpira wa malailoni) mnatoka kilimahewa hadi nera au isamilo
Kuna wababe walikuwa wanaangusha maksudi alafu ana watolea macho kila mtu anagwaya akiangusha mara tatu mchezo unaishaDah mkuu, kwenye kwenda kushika mti ni balaaaaaa, utapigia kweli kweli dah.