Havuti bangi mkuu,,,,nilichopendea Sana kwake kwa Muda wote tulioishi sijaona dalili ya cheating,,,hanywi pombe Ila Ana kiburi,dharau,kuomba msamaha ni kitu hajui Hata Kama KOSA ni lake,,,,,Nikimnunia kidogo kuonyeha nimekereka na yeye ananuna nisipojirudi mim NdO imetoka Hiyo!!!