Recent content by Jmwasele

  1. Jmwasele

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Naomba muongozo wa kulipia, mkuu
  2. Jmwasele

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Mkuu, itabidi kesho niilipie hii renewed
  3. Jmwasele

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Aise! Na hii je itakua bei gani? Mpaka inanifkia? Nivumilie mkuu https://www.ebay.com/itm/Google-Pixel-2-XL-64GB-Just-Black-Unlocked-Smartphone/333177402698?pageci=c5a1f51f-6eaa-49e2-8b00-abfec7f52b0e&epid=239112736
  4. Jmwasele

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Mkuu, sorry kwa kuchelewa, naomba unicomfirmie inakuja na accessories gani na kama sio ya Verizon
  5. Jmwasele

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Mkuu, msaada, tafadhari. Kuna hizi simu Zinaitwa Google Pixel 2 XL naeza pata kwa bei gani nzuri?
  6. Jmwasele

    Wauza smartphone tukutane hapa

    GOOGLE PIXEL 2 XL BEI GANI WAKUU?
  7. Jmwasele

    IPI simu yenye camera nzuri kuliko zote?

    Google pixel 2 na POCO F1 nazipata kwa bei gani mpaka zinanifikia?
  8. Jmwasele

    Msaada Jinsi ya kurecord screen kwenye tecno spark k7

    Imekuwa tatizo kivipi mkuu. Embu tujuze vizuri hapo
  9. Jmwasele

    Je, Mfanyakazi akiumwa mwenzi mzima mshahara wake utakuwepo pale pale au inakuaje?

    Habari zenu wakuu. Nilikuwa nauliza kama mfanyakazi wa tanesco akiwa anaumwa mwezi mzima kiasi cha kushindwa kufanya kazi na huku akiwa na ruhusa ya ofisi, je mshahara wake utakuwepo pale pale au inakuaje?
  10. Jmwasele

    MSAADA: Jinsi ya kuhamisha salio kwenda mtandao mwingine

    Shukrani mkuu. Ila namaanisha kurusha vocha yako kwenda namba ya mtandao mwingine. Je inawezekana?
  11. Jmwasele

    MSAADA: Jinsi ya kuhamisha salio kwenda mtandao mwingine

    Waungwana. Naombeni msaada kunijulisha kama huduma hiyo ipo kweli na unaipataje
Back
Top Bottom