Nimekuelewa vizuri mkuu, nimepata mtihani mkubwa sana maana ni kweli nampenda na ninataka kuona maendeleo ya mimba Kwa ujirani mkubwa lkn imeshindikana sasa
Jamani naomba mnisaidie, inawezekanaje binti ambaye umempa ujauzito ghafla anabadirika hataki kukuona Kabisa ni kweli nakuwa mhusika wa hiyo mimba au nakuwa nimebambikwa tu
Ninaomba wataalamu wa IT.. mnisaidie hapa. Kila ninapotaka kuongeza au kuondoa file kwenye flash yangu Aina ya Twin Mos, inakataa kwa kuniletea ujumbe... This devise is write protection. Na kila nikitaka kuitoa sipati namna ya kutoa. Nawezaje kuitoa? Maana hata kui format inakataa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.