GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,029
- 126,474
Ha ha ha shikamoo Gentamycine.
Hili jibu ni mwisho wa matatizo.
Marahaba.
Ha ha ha shikamoo Gentamycine.
Hili jibu ni mwisho wa matatizo.
Mimi napendwa hadi naenda nae kazini
subiri ataenda kumuona makondaJamani naomba mnisaidie, inawezekanaje binti ambaye umempa ujauzito ghafla anabadirika hataki kukuona Kabisa. Ni kweli nakuwa mhusika wa hiyo mimba au nakuwa nimebambikwa tu
Ni rafiki yangu. Sio demu wanguItakuwa siyo mimba yako, anakufariji.
Ni rafiki yangu. Sio demu wangu
Hahahaaaaass umenipasua mbayaMimi leo nimetoka kupigwa na vibakuli vya undongo hadi nikataka kumshushia kipondo,,,jana nivyofungua mlango tu mtu kakimbilia chooni kutapika, saasa alipomaliza akakaa huko huko hataki kutoka ikabidi nimfate kujua kulikoni?
Akanifukuza tokaaaa ukinisogelea najisikia kichefu chefu.
Hahaaaah hapa ndo naelewa tofauti ya mwanaume na mtoto wa kiume.
Haya ndo mambo ya kiseng***e nisiyopenda kusikiaaa yaani una mimba yangu halafu hutaki kunionaJamani naomba mnisaidie, inawezekanaje binti ambaye umempa ujauzito ghafla anabadirika hataki kukuona Kabisa ni kweli nakuwa mhusika wa hiyo mimba au nakuwa nimebambikwa tu
Ni mabadiliko ya muda tu, yataisha akijifungua Mimba zinakuja na sarakasi nyingi sana. Hiyo ya mwenzako imekuja kihivyo wala hujaibiwa ni yako tu Pole sana najua unaumia maana unapenda uwe naye karibu.
Komaa tu, ila najua hata ukilazimisha utatukanwa tena matusi ya nguoni.
Wala usimfikirie tofauti.