Sasa hawa wanaotaka maridhiano je unaridhiana na nani? kwa ajili ya nini? au ndo kuunda tume za kupeana ulaji alafu baadae kimya hamna lolote.
Dunia imebadilika, ufahamu na uelewa wa watu umebadilika la msingi ni kuachana na siasa za hadaa na ujanjaujanja na kutekeleza yale wananchi wanayoyataka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.