Recent content by jme

  1. J

    JamiiForums Tanzania TANZIA Kardinali Pengo afariki Dunia akiwa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)

    Amevipiga vita vilivyo vizuri mwendo ameumaliza imani ameilinda pumzika kwa amani Baba
  2. J

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Huyu sio Roast Tamu kweli?
  3. J

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Inaonekana itakuwa ndefu bora ungefungua thread mpya.
  4. J

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Unazingua ahadi zimekuwa nyingi utekelezaji sifuri
  5. J

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    yoga anzisha tunakusubiri bila shaka title ni "The shadow President"
  6. J

    JamiiForums Tanzania Bila VPN JF inashindwa kufunguka. Je, imefungiwa tena?

    Tayari ilishaliwa tena
  7. J

    JamiiForums Tanzania JamiiForums yarudi hewani

    Haipatikani tena bila VPN Labda aliyeifungua amepata maelekezo licha ya siku kuisha iendelee kufungiwa.
  8. J

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tundu Lissu: Hakuna Maridhiano bila Ukweli na Uwajibikaji. Hakuna amani bila haki

    Sasa hawa wanaotaka maridhiano je unaridhiana na nani? kwa ajili ya nini? au ndo kuunda tume za kupeana ulaji alafu baadae kimya hamna lolote. Dunia imebadilika, ufahamu na uelewa wa watu umebadilika la msingi ni kuachana na siasa za hadaa na ujanjaujanja na kutekeleza yale wananchi wanayoyataka.
  9. J

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nini sababu ya Makonda kuwekwa Naibu wa pili katika Wizara ya utamaduni?

    Tumeondolewa lini kwenye huu mchakato?
  10. J

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Zitto Kabwe: Ni Wakati Wetu wa Tiananmen, Kilio cha Tanzania cha Haki Katikati ya Mauaji ya Oktoba

    Zitto baada ya kukosa teuzi ya zile nafasi kumi tayari ameanza kama tulivyosema
  11. J

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 TRA yatoa pole waliopata changamoto wakati wa uchaguzi mkuu

    Vip mbona hajagusia walipakodi waliouwawa? Je hajui kuwa nguvu kazi ya walipa kodi imepungua?
Back
Top Bottom