Zinzi kubwa hilo roho wa bwana yu juu yake yy YESU?au mtoa mada u mmoja wa misukule yake?
Maana huwezi leta habari ya jitu kama hilo unafananisha na Yesu,ulishasikia askofu au mchungaji mwenye akili timam akajilinganisha na Yesu?au huelewi yy alisema ni Alfa na Omega?sasa roho ya bwana I juu ya...
Nadhani uongozi ni utashi.binafsi sidhani kama walio ccm wote ni wadhambi na walio cdm ni wasafi,kila binadam anatamaaa ya kula hasa anapotengewa na kuona ufree upo,tumeshuhudia Libya na kwingineko.kikubwa ni kupata kiongozi mwenye uchungu na nchi na wananchi wake.hatuwezi kukaa na kusubiri...
Anaongea Tope la kambale Escrow alipewa askofu msaidizi tena million 80,pesa ambayo haitoshi hata kwenye ujenzi wa kibanda changu,kanisa halitegemei pesa chafu za kishetani,kanisa halipo kudhurumu,nikusaidie tuu sadaka ya Juma1 ni zaid ya milion4×4juma(means 1 month=16ml hiyo ni one month...
Yakupasa ufaham kanisa catholic hiyo shilingi million 80 ni pesa ya mchango wa sadaka kwa muumini mmoja mwenye mapenzi mema na Muumba.wewe unayeshikia bango kudharirisha kanisa kwa kuliingiza ktk laana hii sidhani kama uko sahii.nimekupa mfano maaskofu ni wangapi?majimbo ni mangapi?then ujiulize...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.