Kuhusu Escrow, Kanisa Katoliki limejifedhehesha

Kuhusu Escrow, Kanisa Katoliki limejifedhehesha

Yakupasa ufaham kanisa catholic hiyo shilingi million 80 ni pesa ya mchango wa sadaka kwa muumini mmoja mwenye mapenzi mema na Muumba.wewe unayeshikia bango kudharirisha kanisa kwa kuliingiza ktk laana hii sidhani kama uko sahii.nimekupa mfano maaskofu ni wangapi?majimbo ni mangapi?then ujiulize catholic church inajihusisha na siasa na utamke ni wangapi umewasikia wakiingia ktk siasa za ndani kiasi cha kupokea pesa ashawishi waumini.wapinga escrow ni pamoja na wacatholic,wakosoa serikali ni pamoja na wacatholic ukifuatilia.sasa wewe usilichafue kanisa kwa askofu wake.na kanisa halina shida ya million80 ilisaidie nini??tamaa za mtu binafsi zisihusishe billions of catholic converts
 
Acha uongo kamisa halina haja ya hela toka lini.Wakati kutwa linakusanya sadaka na kutuma maaskofu kuzikusanya hadi kwa wanasiasa kwa njia hata kama si halali
Mbona wizi wa ESCROW lilishiriki.Hivi hujui kama kuna watu walotokea kanisani kisha ni maaskofu walipokea mgao.Hao viongozi na waumini wao ni wezi.Ishu ya ESCROW 99% walioicheza ni waumini wa katoliki.Mnalitetea kanisa badala ya kulisuta kwa kutokusimamia wajibu wake wa kuiongoza jamii kuelekea kwenye maadili mema.Jipinde unavyojipinda ila ukweli nj kuwa nao wameshiriki kikamilifu kuliibia taifa letu lenye masikini wengi,wajane,mayatima,wazee na walemavu wa kila aina
Kwa
 
Yakupasa ufaham kanisa catholic hiyo shilingi million 80 ni pesa ya mchango wa sadaka kwa muumini mmoja mwenye mapenzi mema na Muumba.wewe unayeshikia bango kudharirisha kanisa kwa kuliingiza ktk laana hii sidhani kama uko sahii.nimekupa mfano maaskofu ni wangapi?majimbo ni mangapi?then ujiulize catholic church inajihusisha na siasa na utamke ni wangapi umewasikia wakiingia ktk siasa za ndani kiasi cha kupokea pesa ashawishi waumini.wapinga escrow ni pamoja na wacatholic,wakosoa serikali ni pamoja na wacatholic ukifuatilia.sasa wewe usilichafue kanisa kwa askofu wake.na kanisa halina shida ya million80 ilisaidie nini??tamaa za mtu binafsi zisihusishe billions of catholic converts

kama Ni mchango WA kanisa kwanini atumiwe hela iyo kwenye akaunti yake binafsi na sio ya kanisa!?
 
Wazee wanaoogoza duniani katika taasisi za kidini kwa kubaka vitoto vidogo katika vituo vyao vya kulelea watoto mayatima.Hahahaaaaa.
Kama mtoto ambaye Yesu mwenyewe alisisitiza wapendwe,kisha ni yatia mnawabaka.Je,mnashindwa vp kuiba na kupokea a kutakatisha fedha haramu za ESCROW?
Watu wanaokata viungo vya albino washaanzishiwa msako angalieni kanisa lisije nalo tukakuta limehusishwa huko katika hayo madili haramu,maana nyie hampishani na hela.Baadae hizitakatisha na kusema za kanisa.
 
Nina imani Kanisa Katoliki halitanyamazia jambo hili, ngoja tuwape muda labda wanafanya 'uchunguzi wa kina' bila kuacha chembe ya shaka ili watoe adhabu kwa HAKI bila uonevu kwa maaskofu wao, kama watanyamazia jambo hili mpaka mwisho basi Kanisa litakuwa sehemu ya maovu na taasisi ya kutakatisha fedha haramu
 
Wa Tanzania tunakawaida ya kulalamika,na kulazimisha mawazo yetu yaonekane sahii.Mkuu wa nchi alisema pesa ile sio ya serikali.Benki ya mkombozi ilipopokea fedha hizo,ilihakikisha taratibu zote zimefuatwa.Na hata fedha waliopewa maaskofu,twaisemea tu ,wao hawajui imetoka wapi.hata wewe sadaka zako hatujui unazipataje.mbona mnasema tu hela hizo?mbona hamsemi ufisadi wa posho na mishahara ya wabunge?
 
Wazee wanaoogoza duniani katika taasisi za kidini kwa kubaka vitoto vidogo katika vituo vyao vya kulelea watoto mayatima.Hahahaaaaa.
Kama mtoto ambaye Yesu mwenyewe alisisitiza wapendwe,kisha ni yatia mnawabaka.Je,mnashindwa vp kuiba na kupokea a kutakatisha fedha haramu za ESCROW?
Watu wanaokata viungo vya albino washaanzishiwa msako angalieni kanisa lisije nalo tukakuta limehusishwa huko katika hayo madili haramu,maana nyie hampishani na hela.Baadae hizitakatisha na kusema za kanisa.

hata misikit yaweza hucshwa....hy0 c h0ja
 
Kwani wakati wanapewa hizo fedha waliambiwa kuwa ni za kutakatishwa au unaandika ili uonekane umeanzisha uzi tu
 
Back
Top Bottom