Kwanza utambue Yesu sio Mungu na ndiomaana alikufa,Mungu hawez kufa,pili pasaka sio kufufuka Kwa Yesu,Pasaka ilianziishhwa pale Misri baada ya pigo la kumi ambapo nyumba isiyokuwa na damu mlangon mzaliwa wa kwanza anakufa, waisraeli hawakupata huo msiba hivyo wakaagizwe wawe wanaadhimisha hiyo...
Ndiyo yeye alienda tu kuharibu site za Nuclear weapons kama mwenyekiti wa umoja wa usalama wa dunia,lakini saizi atarudi kama U.S.A rasmi kujibu mashambulizi dhidi yake
Natumaini wewe ni mkristo na unafaham tangu ngazi ya familia mwanaume ndiyo kichwa au kiongozi,hata lile lililokuwa taifa teule zamani hawakuwai kuwa na mkuu wa nchi mwanamke,haya ya leo ni kukengeuka tu Kwa binadam,ila kama ambavyo binadam hana uwezo wa kupaa angani ndivyo mwanamke pia hana...
Kwa uzoefu wangu ni kwamba ukiona mnataniwa basi mnapendwa na mpo fair,utani ni sehem ya maisha yetu,nyinyi ni kabila kubwa na lenye nguvu katika nyanja zote,usiichukulie seriously mkuu, mbona Kuna watu wanaambiwa wanakula mbwa na hwamind wanajua ni utani tu
Hakuna namna serikali itoe tu kibunda Cha maana barabara ya maana itengenezwe pale,yani hata ukiona gari imefeli inakufwata pale hakuna utakapokimbilia
Dah Kuna mzee mmoja mtaani kwetu amefikisika Kwa mambo hayahaya,jamaa alikuwa na hardware kubwa tu Kwa level za wilayani,Sasa hizi shule za serikali hizi zikaanza jengwa na jamaa akawa mzabuni wa materials zote isipokuwa tofali tu na mafundi,ebhana eeh,huu ni mwaka wa7 hivi saiz mzee wa watu ni...
Kama ambavyo tarehe7 October viongozi walikaa kimya na kushindwa kukemea uovu wa Hamas,basi hata saiz wakae tu kimya,maana Israel inafanya tu kujihami Kwa ilichofanyiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.