Recent content by Jkalevela

  1. J

    Kwahiyo kila mwaka Mungu Yesu anakufa na kufufuka?

    Kwanza utambue Yesu sio Mungu na ndiomaana alikufa,Mungu hawez kufa,pili pasaka sio kufufuka Kwa Yesu,Pasaka ilianziishhwa pale Misri baada ya pigo la kumi ambapo nyumba isiyokuwa na damu mlangon mzaliwa wa kwanza anakufa, waisraeli hawakupata huo msiba hivyo wakaagizwe wawe wanaadhimisha hiyo...
  2. J

    Prophet IPM anahubiri injili gani?

    Huyu jamaa hata mimi niliishamshtukia,hakuna ukristo wowote anaoufundisha,nikikuta clip zake namchukuliaga kama content creator au mchekeshaji tu
  3. J

    Hoja ya Kikwete kuhusu Ridhiwani kwenye Uzinduzi wa Bandari Kwala ililenga nini, mbona haikuhusiana na kilichokuwa kinafanyika?

    Wanajeshi wengi zaidi ya asikimia 90 ni wakristo,raia zaidi ya asilimia 70 ni wakristo,take care
  4. J

    Iran imerusha makombora kwenye base za USA za Qatar na Iraq

    Ndiyo yeye alienda tu kuharibu site za Nuclear weapons kama mwenyekiti wa umoja wa usalama wa dunia,lakini saizi atarudi kama U.S.A rasmi kujibu mashambulizi dhidi yake
  5. J

    Iran imerusha makombora kwenye base za USA za Qatar na Iraq

    Kama kweli yamerushwa basi marekani amepata sababu ya kushinda Iran masaa 24 akiteketeza
  6. J

    Naondoka Bungeni bila Mume wangu, Naondoka na Aibu na Mikopo ya kutisha

    Acha uchawa basi mkuu,mwanamke hakuumbwa kuja kumuongoza mwanaume katika ngazi yoyote Ile
  7. J

    Naondoka Bungeni bila Mume wangu, Naondoka na Aibu na Mikopo ya kutisha

    Natumaini wewe ni mkristo na unafaham tangu ngazi ya familia mwanaume ndiyo kichwa au kiongozi,hata lile lililokuwa taifa teule zamani hawakuwai kuwa na mkuu wa nchi mwanamke,haya ya leo ni kukengeuka tu Kwa binadam,ila kama ambavyo binadam hana uwezo wa kupaa angani ndivyo mwanamke pia hana...
  8. J

    Jua mgogoro wa Iran vs Israel chanzo chake

    Hapa nimeelewa vzur sana, nashukuru sana mkuu
  9. J

    Hivi kwanini mikoa au wilaya ambayo waislamu ni wengi kuna ustaarabu mwingi sana? No vibaka,wizi,mauaji n.k

    Mtwara ilipewa hadhi ya mkoa lini. Na Njombe imeanza kuwa mkoa lini? Kwenye maendeleo mikoa inayoongoza ni ya wakristo mfn Mwanza,Arusha,Mbeya
  10. J

    Sifurahishwi na dhihaka zinazofanywa dhidi ya Wasukuma Mitandaoni

    Kwa uzoefu wangu ni kwamba ukiona mnataniwa basi mnapendwa na mpo fair,utani ni sehem ya maisha yetu,nyinyi ni kabila kubwa na lenye nguvu katika nyanja zote,usiichukulie seriously mkuu, mbona Kuna watu wanaambiwa wanakula mbwa na hwamind wanajua ni utani tu
  11. J

    Kama Iran anataka kupambana na Israel basi awekeze kwenye ujasusi zaidi kuliko makombora na drones

    Mbona hapa kwetu hasa Zanzibar waislam ndio mabingwa wa kuchoma na kuharibu makanisa ya wakristo?
  12. J

    Balaa: Kuna ajali kubwa huko Iwambi

    Hakuna namna serikali itoe tu kibunda Cha maana barabara ya maana itengenezwe pale,yani hata ukiona gari imefeli inakufwata pale hakuna utakapokimbilia
  13. J

    Wazabuni wa Taasisi za Serikali tunapata tabu sana kulipwa madai yetu

    Dah Kuna mzee mmoja mtaani kwetu amefikisika Kwa mambo hayahaya,jamaa alikuwa na hardware kubwa tu Kwa level za wilayani,Sasa hizi shule za serikali hizi zikaanza jengwa na jamaa akawa mzabuni wa materials zote isipokuwa tofali tu na mafundi,ebhana eeh,huu ni mwaka wa7 hivi saiz mzee wa watu ni...
  14. J

    Mwakilishi wa Palestina Umoja wa Mataifa aangua kilio!

    Kama ambavyo tarehe7 October viongozi walikaa kimya na kushindwa kukemea uovu wa Hamas,basi hata saiz wakae tu kimya,maana Israel inafanya tu kujihami Kwa ilichofanyiwa
Back
Top Bottom