viongozi wa chadema walitoa namba ya simu ya spika na naibu spika(kama viongozi wa bunge) wa bunge la jamhuri wa muungano wa tanzania sio kama ana makinda na ndugai,,,,,,na hizo namba ziko kwenye tovuti ya bunge,,,so acheni kelele ujumbe umefika kwa wahusika maana hii nchi inaendeshwa kihuni