Recent content by jiwemton

  1. jiwemton

    DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    kahakiki NSSFkama alikua anakuwekea michango yako kama alikua anaweka basi tafuta kazi ya mda mfupi hata miezi 3 inatosha fanya tengeneza mazingira ya kufukuzwa alafu unaenda uchukua helayako.
  2. jiwemton

    Natafuta stori nzuri ya kusoma humu JF

    ndugu yangu naomba majina ya story zilizokamilika za huyu mwandishi Singano Jr nimesoma hii ya nilidhani kahaba
  3. jiwemton

    Kuhusu kikokotoo cha wastaafu: Serikali na CCM muwe na haya. Nanyi wabunge na bunge letu oneni aibu na muwe na utu

    Inamaana hiyo 18m ukigawa kwa miaka 32 ni kama buku jero kwa cku[emoji1787][emoji1787]Mungu anawaona Serikali ya CCM
  4. jiwemton

    Hivi kweli Tanzania amekosekana mtu "smart" wa kuisimamia TANESCO?

    Hivi walisemaga bwawa jipya lilikamilika na sisi tutakua tunauza umeme nje kumbe nazo sound ooh my poor country Tanzania [emoji24][emoji24]
  5. jiwemton

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    vipepeo weusi part 02
  6. jiwemton

    Kamshina wa Uhamiaji Makakala, tafadhali kataza upesi mambo haya yanaofanyika Ofisi za Uhamiaji Kurasini

    Usituchanganye na wewe kujifanya mjuaji sasa copy gan ya 500 hata kama n soko huria shame
  7. jiwemton

    Maswali magumu ya Luhaga Mpina mkataba wa DP-World

    Dah kama haya yote yapo ilikuaje waziri akasaini kwa haraka sana ivo kama hana agenda binafsi yakizungumzwa mambo ya zanzibar inaweza kuonekana ni ubinafsi na watu wanaroho mbaya ila kiukweli wanatukosea sana
  8. jiwemton

    USHAURI: Nani asimame kati ya Baba mlezi na Baba mzazi kwenye send off na harusi!!

    Na hivo Mungu atambariki sperm doner atajijua mwenywe
  9. jiwemton

    Shilingi 10,000 haitoshi kuacha nyumbani kwa familia ya mke na mtoto mmoja?

    Kwaiyo huo mchele nusu ndo mtakula mchana na usiku au cjakuelewa punguzeni mihemko ya kumdanganya mwenzenu kama ndani hakuna mchele na unga mkaa haitoshi
  10. jiwemton

    Finally nimepata watoto mapacha kwa njia ya surrogate

    Unahela lakini au ndo tia maji unataka ulelewe
Back
Top Bottom