Recent content by jiwemton

  1. jiwemton

    JamiiForums Tanzania World Cup Final: Spain 1-0 Argentina | Julai 19, 2026: | Metlife Stadium | Spain Bingwa

    Dah hauishi huu mpira
  2. jiwemton

    JamiiForums Tanzania Ubaguzi wa "wenzetu"

    Mh wala woga sio shida zao maslahi yao wanayaweka mbele sisi sasa kwa kuwang`ang`ania ni balaa jingine
  3. jiwemton

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Aliyeua Baba Zake, alikuwa anatuma Pesa akiwa South Africa Wakazitafuna

    Wazazi wetu wanatuumiza sana wakati mwingine ukijiweka kwenye nafasi yake utaelewa kwann imekua rahisi kufanya alichokifanya struggle ya miaka kumi alafu hakuna kila kitu dah.
  4. jiwemton

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza apendekeza njia rahisi na salama ya kuifuta CHADEMA

    Haya nayo ni mazito.
  5. jiwemton

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu awakemea Gen Z wanaotukana Mahakama na Majaji

    waa Wachaaa wewe tutakuja kuwaona wako utakavowafunza vizuri
  6. jiwemton

    JamiiForums Tanzania Full Time: Simba SC 2-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kariakoo Derby| Major Isamuhyo Stadium | 03.05.2026

    Ladha gani na ww unataka maana tope nalo linaladha yake:(:(
  7. jiwemton

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    kahakiki NSSFkama alikua anakuwekea michango yako kama alikua anaweka basi tafuta kazi ya mda mfupi hata miezi 3 inatosha fanya tengeneza mazingira ya kufukuzwa alafu unaenda uchukua helayako.
  8. jiwemton

    JamiiForums Tanzania Natafuta stori nzuri ya kusoma humu JF

    ndugu yangu naomba majina ya story zilizokamilika za huyu mwandishi Singano Jr nimesoma hii ya nilidhani kahaba
  9. jiwemton

    JamiiForums Tanzania Kuhusu kikokotoo cha wastaafu: Serikali na CCM muwe na haya. Nanyi wabunge na bunge letu oneni aibu na muwe na utu

    Inamaana hiyo 18m ukigawa kwa miaka 32 ni kama buku jero kwa cku[emoji1787][emoji1787]Mungu anawaona Serikali ya CCM
  10. jiwemton

    JamiiForums Tanzania Hivi kweli Tanzania amekosekana mtu "smart" wa kuisimamia TANESCO?

    Hivi walisemaga bwawa jipya lilikamilika na sisi tutakua tunauza umeme nje kumbe nazo sound ooh my poor country Tanzania [emoji24][emoji24]
  11. jiwemton

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    vipepeo weusi part 02
Back
Top Bottom