kahakiki NSSFkama alikua anakuwekea michango yako kama alikua anaweka basi tafuta kazi ya mda mfupi hata miezi 3 inatosha fanya tengeneza mazingira ya kufukuzwa alafu unaenda uchukua helayako.
Dah kama haya yote yapo ilikuaje waziri akasaini kwa haraka sana ivo kama hana agenda binafsi yakizungumzwa mambo ya zanzibar inaweza kuonekana ni ubinafsi na watu wanaroho mbaya ila kiukweli wanatukosea sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.