Wabunge wa Bunge la Katiba wanatunga Katiba ya Wananchi. Kwa lugha nyingine wanafanya kazi ya wananchi. Kwa maani hiyo wabunge na wajumbe wa baraza la wawakilishi wanafanya kazi ya wanainchi walio wachagua. Ningependa kujua kama Zuberi Zitto Kabwe anapokea posho ya 300,000/=.
Waandishi wa Mwanza wameweka maadili mfukoni. Wanaauza weledi na utu wao kwa bei ya aibu.
Mzee Juma Falijara ndie mnunuzi mkubwa. Anajiita Mshauri Na. 5 wa Maadaili wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Mzee huyu hataki kuona Serikali ya CCM ikikosolewa. Kumkosoa Rais hataki kabisa. Waandishi...
Na. Martin M. Malima
Tangazo la Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe la kugombea Urais kama atapitishwa na Chama chake cha Chadema linaripotiwa na vyombo vya habari kuzua tafrani ndani ya Chadema. Binafsi sina hakika na uwepo wa tafrani hii ndani ya Chadema kwani naamini Chadema...
Niaonavyo mimi Kauli za wabunge wa CHADEMA zinazowapelekea kutakiwa kuthibitisha ni uchokonozi tu. Mnyika na wenzake watakaposhindwa kuthibitisha na kuadhibiwa watahoji ushahidi wa Lema kuhusu PINDA kulidanganya bunge.
Maneno ya Mwigulu yanalenga kuwatoa watanzania katika mada ya katiba inayohusu maslahi ya watanzania wengi...Hata hivyo hakuna anayeweza kuthibitisha maneno ya Mwigulu kwa maana Mbowe mwenyewe hajasema kitu.
Happy to hear from your side Zitto. If it is true that the statement was not the first, then woukd you agree with me that you are the cause of what happened in Zanzibar since the people of zanzab might have used ur statements to riot. I have been following Zitto's politics. On my side what the...
Mhe. Mulugo, Naibu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi alisoma High School Songea Boys kuanzia mwaka 1994-1996. Habari za kuaminika kutoka kwa mmoja wa wanafunzi wa Songea Boys kipindi hicho anasema kuwa Philipo Mulugo wa sasa sio yule aliyekuwa Songea Boys kipindi hicho. Mtoa habari...
Tumwombee mbunge mteule wa Arumeru Mshariki Jeremiah Sumari apimzike kwa amani... Ukweli ni kwamba baada ya kifo chake lazima kiti kizibwe.. Kamnda JOSHUA SAMWELI NASARI anaweza kujipanga kutimiza ahadi yake. Agali matokeo ya NEC mwaka 2010.
ARUSHA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.