​hilo ni jizi la epa uza vx na mpaka utauza familia yako 2015
Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake. Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao. Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!