Recent content by Jitulambagu

  1. Jitulambagu

    Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

    Story nzuri yenye mafunzo kwa vizazi na vizazi
  2. Jitulambagu

    Simba ni lini mlikuja kufanya mazoezi ya mwisho na mabasi mawili makubwa kwenye derby?

    Simba wako sahihi kwa mujibu wa kanuni, kiuhalisia huwezi kumpangia mtu aingiaje, apo mtani kachemka
  3. Jitulambagu

    Inasikitisha sana mji mzuri kama huu wa Walebanoni kufanywa magofu Kama Gaza kwa kuunga mkono magaidi wa Hizbola

    Hili taifa la israel ipo siku mungu atalikomesha, kiufupi hizbolah na hamasi wako sawa tu kutetea maana maafa yanayotokea Dunia ipo kimya
  4. Jitulambagu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu nawezaje toa ela kirahisi kwenye 1xbet tofauti na mobile payment ambayo kwa sasa haipo?
  5. Jitulambagu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwa watumiaji wa 1xbet na 888 starz cheza option hii ya saves over 3.5 weka game 4, odds zina range 1.1-1.15 kwa game 4 hukosi odds 1.6 weka ela ya kutosha ata kuanzia 20k ni hatari sana nimecheza kama mara 8 mfululizo no lost.
  6. Jitulambagu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Inakuja hivi, hakuna mitandao ya kawaida
  7. Jitulambagu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu una withdraw vipi kupitia mitandao ya kawaida, au mawakala wanafanya kazi bado?
  8. Jitulambagu

    GSM na Hersi mmekivuna mlichokitaka kwa Manara

    Ni kweli kabisa, tamasha lilinoga ila katikati ya utambulisho wa wachezaji kilichofuata hata haikua na ulazima Sent from my SO-01K using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom