Hata ukweli ukaelezwa usiku na mchana,jukum la kubaini na kuweka usawa ktk elimu,maendeleo na fursa baina ya jamii moja au kikundi kimoja na kingine ni la serikali na ndo chombo pekee ambacho kina dhamana ya kukabiliana na changamoto kama hizo.UHAKIKI,Hata mkoloni alipoleta elimu haikuwa rahisi...
CECAFA hivi ni kweli ktk mashindano yenu nyee ndo wenye uwezo wa kupanga nani acheze na nani asicheze ktk kila timu washiriki?Mna akili sana tena zinazozidi kawaida.
Imezoeleka Tz kuwa ni kichwa cha wenda wazimu ktk soka na cha ajab zaidi Ukweli wa maneno haya bado timu za mpira zinauthibitisha.Licha ya jitihada kadhaa za TFF ,serikali,Vilabu na taasisi mbalimbali ktk kuibua vipaji vya vijana tatzo bado vipaji vinavopatikana haviendelezwe,nafkir tutaungana...
TFF tunzeni vipaji vinavoibuliwa katika mashindano mbalimbali kama rolling stone,copa coca cola,umiseta n.k kwa kuingiza timu ya vijana katika ligi kuu itasaidia kulinda vipaji na kuwakomaza madogo hili ndo pekee linaloendana na umaskini wetu.Wadau wa michezo ktk hili upi msimamo wenu?
:llama:Imepita miaka sasa CCM imekua ndo chama pekee ambacho watanzania wamekipa nafasi kuwatawala c tu kwa sababu ya iloyafanya kwa watanzania lakini ujinga,dhulma na mipango kabambe inayofanywa kudhoofisha vyama vya upinzani imekua ni sababu ya chama hicho kuwa na uhakika wa kutawala nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.