Recent content by JITU PEVU

  1. J

    Kwanini Oman wamewatosa Wazanzibari?

    Mkuu umewachambua vema Wazanzibar,Good kwenu bara sehemu gani bana tuanike madudu yenu.
  2. J

    Mshitakiwa wa ugaidi aonyesha alivyolawitiwa na Polisi Mahakamani

    Napata shida kutoamini kuwa vyombo vya dola ndo walim wa ugaidi.Poleni sana watz mnaoubaguliwa na kunyanyaswa ktk ardhi huru.
  3. J

    MJADALA WA ELIMU NA UDINI TANZANIA (Tafadhali isome yote, ingawa ni ndefu)

    Hata ukweli ukaelezwa usiku na mchana,jukum la kubaini na kuweka usawa ktk elimu,maendeleo na fursa baina ya jamii moja au kikundi kimoja na kingine ni la serikali na ndo chombo pekee ambacho kina dhamana ya kukabiliana na changamoto kama hizo.UHAKIKI,Hata mkoloni alipoleta elimu haikuwa rahisi...
  4. J

    Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...

    Dogo wamemtibulia na huenda wakawa wamemchelewesha tu kufikia mafanikio alodhamiria.
  5. J

    Yanga yaenguliwa Kombe la Kagame, Azam wachukua nafasi yao

    CECAFA hivi ni kweli ktk mashindano yenu nyee ndo wenye uwezo wa kupanga nani acheze na nani asicheze ktk kila timu washiriki?Mna akili sana tena zinazozidi kawaida.
  6. J

    GE2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

    Kama ndivyo basi amewajib CDM na amewaelewesha watanzania wasio yaelewa kuhusu Zitto,Pumzika kijana ila angali tunakuhitaji ktk siasa tena.
  7. J

    Maswali na ushauri kwa Malinzi

    Imezoeleka Tz kuwa ni kichwa cha wenda wazimu ktk soka na cha ajab zaidi Ukweli wa maneno haya bado timu za mpira zinauthibitisha.Licha ya jitihada kadhaa za TFF ,serikali,Vilabu na taasisi mbalimbali ktk kuibua vipaji vya vijana tatzo bado vipaji vinavopatikana haviendelezwe,nafkir tutaungana...
  8. J

    The world should colonise Israel and Palestine to save their life.

    Ni wazi kuwa nchi hizo uhuru umezilewesha.Sasa c ni vema Dunia ikazitawala kwa hiari au mabavu?Okoa akinamama na watoto toa maoni yako sasa.:peace:
  9. J

    The world should colonise Israel and Palestine to save their life.

    Ni wazi kuwa nchi hizo uhuru umezilewesha.Sasa c ni vema Dunia ikazitawala kwa hiari au mabavu?Okoa akinamama na watoto toa maoni yako sasa.:peace:
  10. J

    Maswali na ushauri kwa Malinzi

    TFF tunzeni vipaji vinavoibuliwa katika mashindano mbalimbali kama rolling stone,copa coca cola,umiseta n.k kwa kuingiza timu ya vijana katika ligi kuu itasaidia kulinda vipaji na kuwakomaza madogo hili ndo pekee linaloendana na umaskini wetu.Wadau wa michezo ktk hili upi msimamo wenu?
  11. J

    Je ccm inayonafasi ya kutoa viongozi wataosimamia maslahi ya wananchi kwa haraka na gharama yoyote?

    :llama:Imepita miaka sasa CCM imekua ndo chama pekee ambacho watanzania wamekipa nafasi kuwatawala c tu kwa sababu ya iloyafanya kwa watanzania lakini ujinga,dhulma na mipango kabambe inayofanywa kudhoofisha vyama vya upinzani imekua ni sababu ya chama hicho kuwa na uhakika wa kutawala nchi...
  12. J

    Tanzania au Tanganyika?

    Vyote sawa tatizo liko watu wenyewe wakawa watanzania au watanganyika.
Back
Top Bottom