Mimi nimesoma nimeona katoa maoni yake kuwa anapendekeza kama tutavunja muungano Tanganyika iendelee kuitwa Tanzania tena katoa na sababu kuwa yeye alizaliwa wakati wa Tanzania pamoja na kizazi kikubwa cha aina yake
tanganyika
Kuna ugumu gani kiasi kwamba si rahisi kubadilisha sheria?
Kipi rahisi na kipi kigumu kati ya kubadilisha mfumo mzima wa sheria kuanzia ngazi ya chini hadi juu ama kubadili jina toka Tanzania kuja Tanganyika?
Tanganyika ndo njia kuu, hii Tanzania ni mchepuko tu!!!!!!!
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Tanganyika mkuu ni jina letu la asili. Hii Tanganyika zamani ijulikana Kama Mrima, na baadae Tanganyika, sasa Tanzania bara. Kurudi nyuma si Kosa,na kisheria Tanganyika ndiyo nchi halisi iliyoungana na Zanzibar kuzaa TZ. Tanzania ni jina la kufikirika . Muungano ukikoma halina tena uhalali. Wazanzibari watanyofoa ZAN katika jina hili . Historia inajieza wazi kuwa TZ imezaliwa 1964 baada ya muungano
Nawkilisha.