Recent content by Jitu leusi

  1. Jitu leusi

    Wachina wacharanga Watanzania mapanga ndani ya Tanzania

    Dah hatari Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Jitu leusi

    Mbowe akikagua miradi ya maendeleo ya Rais Magufuli jimbo la Hai

    Dah nimecheka kweli Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Jitu leusi

    Hili la Idris Sultan limewaacha wasanii wa Tanzania uchi wa mnyama

    Tatizo kalitafuta makusudi kosa iloilo unalirudia huo ni ukosefu wa akili kama lingekua kosa la kwanza watu wangempigia kelele lakin kosa analifanya makusudi tena analiruda tena kumdhihaki raisi tena kipindi cha kampeni kinakuja nani yupo tayari kutetea ujinga wake hata kama ingekua wewe mtoa...
  4. Jitu leusi

    Orodha ya yanayoweza kuwa mashtaka ya Mbowe na wenzake

    Halafu hawa chadema wanakwama wapi Mbowe anajulikana mlafi alafu wanakubali kuchanga pesa nyingi dah kweli wajinga ndio waliwao Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Jitu leusi

    Orodha ya yanayoweza kuwa mashtaka ya Mbowe na wenzake

    Kama hayo yote kweli basi asulubiwe hamna namna Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Jitu leusi

    Huwezi kuwa na Akili timamu Ukawatetea hawa watu wawili. Si sawa hata kidogo

    Aseah hatar sana Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Jitu leusi

    Idris Sultan afikishwa katika Mahakama ya Kisutu. Ashtakiwa kwa kumiliki laini ya simu isiyo na jina lake. Aachiwa kwa dhamana

    Inatakiwa apate adhabu kali mpaka najua kuwa Raisi ni mkuu wa nchi vijana waumbavu kama hawa hawaitajiki kudharau viongozi wa nchi Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Jitu leusi

    Picha zinatisha: Maasai watwangana na jamii ya Kipsigis Narok nchini Kenya, wanne wapoteza maisha

    Haya sio yakufurahia hata kidogo tatizo linaletwa na serikali haiangalii migogoro kama hii kwa jicho la tatu unaweza kukuta pengine hili jambo wamelipeka kwenye mamlaka husika wao wakafanya mzaha matokeo ndo haya dah so sad Allah awaponye majeraha yao Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Jitu leusi

    Je, tutafika?

    Dah mkuu umewaza nje ya box Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Jitu leusi

    Sema parking ya Mond ni kama parking ya Bunge

    Dah jinsi unavyosifia hongera Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Jitu leusi

    Hivi unapata wapi ujasiri wa kutembea/kulala na mke/mme wa mtu?

    Tamaa tu [emoji51][emoji51] Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Jitu leusi

    Chadema kutumia watu wasiojulikana kutukana viongozi sio ustaarabu wa kisiasa

    Mkuu Bia yetu mbona unapiga kwenye kidonda [emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Jitu leusi

    Hivi urembo unaruhusiwa humo majeshini?

    Sasa kwa alivyojilemba atapambana vp na majangili [emoji28][emoji28][emoji28] Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Jitu leusi

    Zitto kuhukumiwa Mei 29, 2020

    Japokua Zito mwanasiasa mzuri lakini hamna namna ashughulikiwe kwamujibu wa sheria ili iwe fundisho Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom