Nakumbuka 2014 kipindi nafuatilia Passport yangu, hapo Posta ofisi za uhamiaji na makao makuu ya wizara ya mambo ya ndani...nilikuwa nimenyuka kinyamwez...beli white na pensi flani matata timber flani hivi....sijui kitu yoyote mzee....kuhusu protokali zao...
Naenda kuchukua Passport...
Mara nyingi kitu kilicho nje ya utaratibu kikifanywa mara kwa mara(mara nyingi) na watu wale wale...hugeuka mazoea!
Tufuate utaratibu...
Basi ni lazima ianzie stendi...iache mapato...na abiria wanaofata utaratibu nao wapate usafiri...
Basi kukutoa mahala ulipo,kituoni kwako..hiyo ni favor...
Inapaswa mjikite zaidi kwenye kuunga watu mifupa,...!majeruhi wa Bodaboda wanahitaji zaidi huduma yenu zaidi ya sisi tunavyowahitaji huku!
tunatambua uwepo wenu...! hata msipo comment chochote humu.
Hizo game zilizokuwa postponed zina odds ngapi ngapi kila moja, stake ilikuwa sh ngapi, payout ilisoma sh ngapi?... weka hizo data hapa nikwambie utapewa kiasi gani.
Man U
Fanabahce
Victoria Plezen
Ajax
Hizi timu popote utakapoziona zikicheza na timu yoyote! Elewa maana "yoyote"!
GG hapa ni SURE BET!
Naongea kwa experience!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.