Recent content by JITU BANDIA

  1. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    mnnnnhhhcffasfhjgjķgnkksdhxsq 18:30-22:30
  2. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

  3. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

  4. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 14 September, Shahidi John Heche ameshafika tayari mahakamani

    Sasa haya maswali ya jezi za arsenal kwa makamu, yanahusiana nini na shauri la lissu lililoko mahakamani? Agenda zao feki zimefeli kwa kutumia machawa wao sasa wanazipitishia maharani ili kumvuruga shahidi Watafeli tu!
  5. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Huyu harudii tena

    Wenzako wako juu wananyoosha ukuta na kabilo kuhakikisha tunapata makazi bora... Wewe umesaliti mafundi uashi/ujenzi wenzako unakomaa humu na stori za midinyano!
  6. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiwa kwenye siku zao(Hedhi) wanakuwa hatari kwenye mazao na watoto wachanga!

    Hiyo ya mwanamke alieko hedhi kushika vitu vinakauka...MIMI NIMETHIBITISHA! 💯 NILIKUWA NA MCHAI CHAI NIMEUPANDA NAUMWAGILIA VIZURI UMECHANUA...SIKU NAMSHUHUDIA KWA MACHO YANGU WIFE ANACHUMA HUO MCHAI CHAI... ....NA ALIKUWA KWENYE SIKU ZAKE...NDANI YA SIKU 2 HUO MCHAI CHAI ULIANZA KUNYAUKA NA...
  7. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    B Binafsi nimekua nikisimuliwa kuhusu uchawi... Nimekuwa mtu mzima sasa SIJAWAHI KUSHUHUDIA UCHAWI KWA MACHO! Ama kuthibitisha!, wala kujiridhisha kwa tukio lolote lile nililoliona kwa macho na moyo wangu kujiridhisha na kuamini kuwa huu kweli ni UCHAWI! Nachelea kusema ni dhahania tu!
  8. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Sitokaa nitongoze mtoto wa mtu! Hili lililo Nikuta limenifunza kitu MJINI hapa

    Hivi huwa mnatuonaje na hizi story zenu za kutunga? Uko mahala pa gharama ambapo hukutegemea kuletwa hapo...ukaingia toilet fasta ukakopa kwenye app za mtandaoni ili ulipie bili!...( kwa maelezo yako bili si chini ya 450-500k) NOTE!!! KAMPUNI NYINGI ZA MTANDAONI TOFAUTI NA KAMPUNI ZA...
  9. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Nyumba 2 kwa pamoja zinauzwa mil 49 kivule

    Kwa jicho la haraka tu!.... kwa mtu mwenye reasoning.....hiyo bei,ukubwa wa eneo, ukubwa wa hizo nyumba, eneo zilipo....HAZISADIFU HIYO BEI YAKO YA MIL 49! Atleast bei ingeanzia Mil 90+ inge-make sense! Ntu anapigwa hapa!
  10. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wewe unaonaje kwani!? Hapo nimeshinda milioni 10 mzee, Karibu kwenye dunia yetu
  11. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    WanaMAMA WA MAMA... Wakiwa wameenda ktk utalii wa hapa na pale!
  12. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Pipo za JF

    Nafikiri niko KUNDI NAMBA 4 KUJA UJAVYO, UTAPATA WASTANI KWA UJAZO STAHIKI!
  13. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe afika Kizimkazi kumfariji Samia Suluhu Hassan aliyefiwa na Mumewe

    Hii mbwa ilichelewesha sana ukombozi wa hii nchi... Uchaguzi wa January 2025 umetufumbua macho... kuwa kwenye ndoa yetu ya ukombozi kulikuwa na mtoto wao mtiifu! Ambae ni hii mbwa!
Back
Top Bottom