Recent content by JITU BANDIA

  1. JITU BANDIA

    Heri ya Eid al-Fitr, furaha na amani iwe nanyi 🌙⭐

    Sikukuu isiyo na siku maalum! Sijui siku Mwezi ukitandwa na ukungu angani usionekane hata kwa darubini itakuwaje! Ndugu zetu
  2. JITU BANDIA

    Chanzo cha mvua za radi Dar es Salaam na Pwani

    Ra Radi haina hayo mkuu, ikija inakuja tu katika usawa wake iliyojichagulia... Nilishuhudia 2010 kwa macho yangu! mtu amepigwa na Radi katikati ya uwanja wa mpira! Akaungua na kufa papo kwa hapo!. Mkwajuni Chunya.
  3. JITU BANDIA

    Kama Mwanaume, omba Mungu sana usijejikuta kwenye Hali kama hii. Ni aibu isiyoelezeka

    Anko mbona ni ukoo wa mbali kabisa huo!, angekuwa walau babamkubwa hapo kungekuwa na shida... Ukielewa hili "Kwa kuwa kwa mjomba hakunaga urithi, na mwanamke sio ndugu yako", kwa hiyo simshangai kabisa mjomba! Kufanya hicho alichokifanya!.
  4. JITU BANDIA

    Tangazo la kupotea kwa Mtoto wa kike

    Mama weee! Kazuri hivi!?.... watu washajibinafsishia!.... tayaari!.. wazazi punguzeni gharama za mahari!
  5. JITU BANDIA

    JamiiForums Usiku wa manane

    Mkuu! Nitake radhi!, umekosa vitu vya kunifananisha hadi kunifananisha na BINAMU YAKE LUSIFA?!
  6. JITU BANDIA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Najibinyia tu, ngoja nikajifunze kubeti.
  7. JITU BANDIA

    Vijana tujifunze kuwa waaminifu. Angalia jinsi Dola 100 ilivyotaka kunitoa roho

    Fanabahce Win huwa 98% Fanabahce GG huwa ni 95% I don't know why! Poor defence mechanism!
  8. JITU BANDIA

    Ni wapi naweza pata chumba cha kulala na tsh 60,000 kwa usiku Zanzibar?

    Eeh!, watalaam, wazee wa kazi chafu!, watu wa kazi kazi!
  9. JITU BANDIA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Weka namba hapa nikuwekee buku ubetie uache kutuchafulia na kutujazia sever hapa!
Back
Top Bottom