Sasa haya maswali ya jezi za arsenal kwa makamu, yanahusiana nini na shauri la lissu lililoko mahakamani?
Agenda zao feki zimefeli kwa kutumia machawa wao sasa wanazipitishia maharani ili kumvuruga shahidi
Watafeli tu!
Hiyo ya mwanamke alieko hedhi kushika vitu vinakauka...MIMI NIMETHIBITISHA! 💯
NILIKUWA NA MCHAI CHAI NIMEUPANDA NAUMWAGILIA VIZURI UMECHANUA...SIKU NAMSHUHUDIA KWA MACHO YANGU WIFE ANACHUMA HUO MCHAI CHAI...
....NA ALIKUWA KWENYE SIKU ZAKE...NDANI YA SIKU 2 HUO MCHAI CHAI ULIANZA KUNYAUKA NA...
B
Binafsi nimekua nikisimuliwa kuhusu uchawi...
Nimekuwa mtu mzima sasa SIJAWAHI KUSHUHUDIA UCHAWI KWA MACHO! Ama kuthibitisha!, wala kujiridhisha kwa tukio lolote lile nililoliona kwa macho na moyo wangu kujiridhisha na kuamini kuwa huu kweli ni UCHAWI!
Nachelea kusema ni dhahania tu!
Hivi huwa mnatuonaje na hizi story zenu za kutunga?
Uko mahala pa gharama ambapo hukutegemea kuletwa hapo...ukaingia toilet fasta ukakopa kwenye app za mtandaoni ili ulipie bili!...( kwa maelezo yako bili si chini ya 450-500k)
NOTE!!! KAMPUNI NYINGI ZA MTANDAONI TOFAUTI NA KAMPUNI ZA...
Kwa jicho la haraka tu!.... kwa mtu mwenye reasoning.....hiyo bei,ukubwa wa eneo, ukubwa wa hizo nyumba, eneo zilipo....HAZISADIFU HIYO BEI YAKO YA MIL 49!
Atleast bei ingeanzia Mil 90+ inge-make sense!
Ntu anapigwa hapa!
Hii mbwa ilichelewesha sana ukombozi wa hii nchi...
Uchaguzi wa January 2025 umetufumbua macho... kuwa kwenye ndoa yetu ya ukombozi kulikuwa na mtoto wao mtiifu! Ambae ni hii mbwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.