Ra
Radi haina hayo mkuu,
ikija inakuja tu katika usawa wake iliyojichagulia...
Nilishuhudia 2010 kwa macho yangu! mtu amepigwa na Radi katikati ya uwanja wa mpira! Akaungua na kufa papo kwa hapo!. Mkwajuni Chunya.
Anko mbona ni ukoo wa mbali kabisa huo!,
angekuwa walau babamkubwa hapo kungekuwa na shida...
Ukielewa hili "Kwa kuwa kwa mjomba hakunaga urithi, na mwanamke sio ndugu yako", kwa hiyo simshangai kabisa mjomba! Kufanya hicho alichokifanya!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.