Recent content by JITU BANDIA

  1. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Wanaume mnapende kitu kipi kutoka kwetu.

    Angalia mstali wa IKWETA ULIPO! Ndio vitu twapendelea
  2. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Atatamani awe wako

  3. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

  4. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

  5. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Nakumbuka 2014 kipindi nafuatilia Passport yangu, hapo Posta ofisi za uhamiaji na makao makuu ya wizara ya mambo ya ndani...nilikuwa nimenyuka kinyamwez...beli white na pensi flani matata timber flani hivi....sijui kitu yoyote mzee....kuhusu protokali zao... Naenda kuchukua Passport...
  6. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mabasi kulazimishwa warudi Magufuli ni hujuma: lengo SGR ipate wateja na kutafuta mapato stendi kuu

    Mara nyingi kitu kilicho nje ya utaratibu kikifanywa mara kwa mara(mara nyingi) na watu wale wale...hugeuka mazoea! Tufuate utaratibu... Basi ni lazima ianzie stendi...iache mapato...na abiria wanaofata utaratibu nao wapate usafiri... Basi kukutoa mahala ulipo,kituoni kwako..hiyo ni favor...
  7. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

  8. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania FAIDA FUND (WHI) YATOA MAFUNZO KWA WATUMISHI WA MOI KUHUSU UWEKEZAJI WA FEDHA

    Inapaswa mjikite zaidi kwenye kuunga watu mifupa,...!majeruhi wa Bodaboda wanahitaji zaidi huduma yenu zaidi ya sisi tunavyowahitaji huku! tunatambua uwepo wenu...! hata msipo comment chochote humu.
  9. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hizo game zilizokuwa postponed zina odds ngapi ngapi kila moja, stake ilikuwa sh ngapi, payout ilisoma sh ngapi?... weka hizo data hapa nikwambie utapewa kiasi gani.
  10. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Man U Fanabahce Victoria Plezen Ajax Hizi timu popote utakapoziona zikicheza na timu yoyote! Elewa maana "yoyote"! GG hapa ni SURE BET! Naongea kwa experience!
  11. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jiachie...
  12. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kuza Cashout Code
  13. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kuza Cashout Code
  14. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tako bingiri bingiriii...unasonsomolwaa! Domo bingiri bingiri...unawekelewaa! Ila zuchu!
Back
Top Bottom