Naomba kuuliza hivi kama mtumishi aliomba kibali toka kwa katibu mkuu utumishi cha kuhama na akapata sasa aliomba toka mwezi wa pili kimetoka sasa huu wa 6
Kipindi hiki hana hat hamu ya kuhamia huko tena kwa sababu ya mbalimbali .je anaweza asiende tena huko na kusiwe na shida yoyote??
Naomba...
Hii ni habari njema sana kwangu hii kampuni imenidhulumu viwanja sita na huyu yona anamajibu ya dharau akiwa na wenzake emma. Alieafanikisha kupatikana kwake MUNGU atamlipa. Aemdhulumubwanafunzi wa vyuo viwanja kuanzia Chuo cha maji,kampala chuo cha maendeleo na udsm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.