Hii ni habari njema sana kwangu hii kampuni imenidhulumu viwanja sita na huyu yona anamajibu ya dharau akiwa na wenzake emma. Alieafanikisha kupatikana kwake MUNGU atamlipa. Aemdhulumubwanafunzi wa vyuo viwanja kuanzia Chuo cha maji,kampala chuo cha maendeleo na udsm.
Hufanikiwa kwa sababu hufikiria kabla ya kutenda na pia sio watu wa kukurupuka na kujionesha.kila kitu wana kireason kwanza.
Hlf ni wavumulivu na risk taker.
Ndio maana ht wakiwa na hela hujui na wakiwa hawana hujui.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.