UNA AKILI SANA MKUU!!! sijui na wewe umefungasha?!
hivi nikisema wenye macho makubwa wanaona sana wanasayansi wa chuo kikuu cha makelele wamethibitisha itakuwa ni kweli?!!!
HEBU TUTHIBITISHIENI HAYA MANENO TUSIBAKI NA SHAKA!.
isijekuwa sayansi kimu hii.
Uko na mpenzi wako na mnapendana sana na ikafikia hatua mkaoana na mnaishi pamoja ila wote kila mmoja kwa wakati wake ana mpenzi wa kando (siri yake).
siku moja kwa bahati mbaya kila mtu akiwa na mpenzi wake wa kando mnakuna koridoni katika nyumba ya kulala wageni! ndo kwanza mnaingia kuzini...
jamani wataalam naomba nisaidieni haya maneno maana ninaamini nilichofundishwa darasani kuwa dunia ni duara. lakini sasa kuna hili neno utasikia kwa mfano "kila kona ya dunia" sasa nimekuwa nikijiuliza huu msemo wa kila kona ya dunia wakati duara halina kona umetoka wapi na hadi ukajijengea...
jingo ni sauti iliyorekodiwa na huwekwa mahususi kila baada au kabla ya kipindi au hata kati kati ya kipindi. mfano mmoja ni huo nimekupa baada ya kipindi cha DIRA YA DUNIA ambacho hurushwa na Idhaa ya kiswahili ya BBC kupitia radio one na RFA ukisikiliza mwisho wa matangazo hayo kwa radio one...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.