Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,355
Naomba heading isomeke hivi:
Swali kwa wazinzi tu!
Kwi kwi kwi kwi!
Naomba heading isomeke hivi:
Swali kwa wazinzi tu!
Wako anauma na weye unapochukua wa wenzio? Basi yoyote mtakayo mtendewe na watu, na ninyi muwatendee vivyo hivyoYan hapo nitamdunda huyo jamaa aliechukua mke wangu, namke wangu asipofanya hivyo kwa dem wangu wapembeni, nae namuangushia kipigo nyumbani.
Yan hapo nitamdunda huyo jamaa aliechukua mke wangu, namke wangu asipofanya hivyo kwa dem wangu wapembeni, nae namuangushia kipigo nyumbani.
Mi nashangaa sana kwa nini uibe bac kama mateso yake ndo haya?Haiwezekani, wakati mimi nime-plan kumvalia condom malaya niliyemchukua, nitajuaje labda njemba litamchapa kavukavu mke-wangu. Hapo inaweza kuwa ndio mwanzo wa kumchapa mke wangu na condom hadi kwenda kupima, na vilevile inaweza ikawa mwisho wa ndoa.
Haiwezekani, wakati mimi nime-plan kumvalia condom malaya niliyemchukua, nitajuaje labda njemba litamchapa kavukavu mke-wangu. Hapo inaweza kuwa ndio mwanzo wa kumchapa mke wangu na condom hadi kwenda kupima, na vilevile inaweza ikawa mwisho wa ndoa.
Hamna mwenye makosa,kila mtu atafanya kilichompeleka gesti,maswali mengine tutaulizana tukirudi home
Ya kweli hayo hiyo nguvu ya kutamka yote hayo utakuwa nayo? Yaani hapo kila m2 atakuwa speechless kwa kutekewaMi nikimuona nitamwambia ''afadhali mume wangu nimekuona yaani nilikuja huku na huyu kijana kuja kukutegeshea tu, kama kweli yale maneno ya watu kuwa unanicheat hivi ni kweli? Na sasa nimejionea,,,,,, mume mbaya sana wewe!!!!!!!'' then namuaga hawara wangu ki-umbea udmbea.... ''haya kaka asante nashukuru sana kwa msaada wako msalimie shoga angu Ablessed'' yule hawara akisepa namvuta demu wa mume wangu namtia makwenzi!!!!!!!!! Then namshika mume wangu mkono kwa hasira fake huku natoa lawama juu yake haoooooo hadi home!!!!!!
Ooh kumbe hapo uta-apply mfumo dume eeh kulikoni kumchapa mkeo ilihali hapo mmetoka ngoma droo.
Mi nashangaa sana kwa nini uibe bac kama mateso yake ndo haya?
Uko na mpenzi wako na mnapendana sana na ikafikia hatua mkaoana na mnaishi pamoja ila wote kila mmoja kwa wakati wake ana mpenzi wa kando (siri yake).
siku moja kwa bahati mbaya kila mtu akiwa na mpenzi wake wa kando mnakuna koridoni katika nyumba ya kulala wageni! ndo kwanza mnaingia kuzini! pale nani anamakosa? na kama wewe ni mwanamke utachukua hatua gani na ukiwa mwanaume utachukua hatua gani?
hapo wala nisingemuoa huyo kicheche pia, ninge concentrate kwenye kulea watoto wangu (paternal test confirmed) na kuendelea ku make money zaidi kwa future yangu na watoto.Mwisho wandoa ?? unajuaje na huyo kicheche uliyenaye anawangapi baada ya wewe?
Sasa si unaona kuiba kwangu kungenifanya nikutane na mke wangu maeneo hatari, kama ningekuwa siibi then nisingejua kama naibiwa. Kwa maana hiyo hata kama ningekuwa siibi, mke bado angeibiwa na bado angeendelea kuibiwa.
third newton's law of motion "in every action there is an equal reaction" kwa hiyo hapo haiwezi tokea mmoja aibe mwengine asiibe..
Naomba heading isomeke hivi:
Swali kwa wazinzi tu!
Mie kwangu siku zote mwanamke ndiye mwenye makosa,
Mwanaume huwa akosei teh teh teh teh .......
naomba heading isomeke hivi:
Swali kwa wazinzi tu!
utazini na mtu usiyempenda?
Mie kwangu siku zote mwanamke ndiye mwenye makosa,
Mwanaume huwa akosei teh teh teh teh .......
KWA HIYO UTAMDUNDA AU UTAMPA TARAKA?
Nimeoa bana na nilijitahidi kuoa kutoka kule Musoma, wife anaenjoi sana maisha ya kimfumo dume....Aisee,km umeoa namuonea huruma mkeo,km bado namsikitikia huyo ataekuja kuwa mkeo!!