Madume bora yako usukumani

Madume bora yako usukumani

Nikwel hakuna mshamba kama msukuma nimewahi kufungua kesi kama 20 za wasukuma kulizwa hela na machangudoa mjin kwanza n malimbuken halaf bado wanamkono wa sweta
 
cant recommend myself to accept poor arguments based on tribes
 
kwa wale tuliowahi kwenda magu kutokea mwanza kuanzia saa saba hadi saa tisa nadhani mtakubaliana na mimi kwamba idadi ya maiskeli zinazopaki pembeni ya barabara ni nyingi sana, maana ndio mda wao wa kukata gogo vichakani

sifa zote ni zao :tape:
 
halafu sasa hivi wameuvamia uliberal- wanasikitika sana kwa nini hii starehe wamechelewa kuichangamkia
 
kwa wanawake wote ambao mna ndoto ya kuwa na famila bora zingatieni hili. wasukuma wamejaaliwa
1-warefu
2-maumbo makubwa
3-mvuto
4-wakarimu
5-wapore
6-wametulia
7-wanajua kupenda
8-wachapakazi
9-sio wagomvi kama wakurya
10-hawana tamaa kama wachaga
11-hawajazubaa kama waha
12-na vyombo wanavyo!
13- IQ ishawarejea sio kama zamani
unasubiri nini sasa we mwanamama unayehitaji kuwa miongoni mwa watu wenye uzao bora?
nicheki kwenye facebook kwa id ya jitindejangongwa kwa msaada zaidi

pia malizia wanaakili za kushikiliwa na mtu sosi ngosha la mtaani kwetu..
 
kwa wanawake wote ambao mna ndoto ya kuwa na famila bora zingatieni hili. wasukuma wamejaaliwa
1-warefu
2-maumbo makubwa
3-mvuto
4-wakarimu
5-wapore
6-wametulia
7-wanajua kupenda
8-wachapakazi
9-sio wagomvi kama wakurya
10-hawana tamaa kama wachaga
11-hawajazubaa kama waha
12-na vyombo wanavyo!
13- IQ ishawarejea sio kama zamani
unasubiri nini sasa we mwanamama unayehitaji kuwa miongoni mwa watu wenye uzao bora?
nicheki kwenye facebook kwa id ya jitindejangongwa kwa msaada zaidi
umesahau sifa yao nyingine, UCHAWI ndio nyumbani kwake,
 
Mmeona hampendek mmeanza kutafuta mpewe kiki
 
Back
Top Bottom