Swali kwa wapendanao tu!

Swali kwa wapendanao tu!

Ya kweli hayo hiyo nguvu ya kutamka yote hayo utakuwa nayo? Yaani hapo kila m2 atakuwa speechless kwa kutekewa

kuna watu wamebobea kwa uzinzi na uongo so ata wakifumaniana kidizain hiyo lazima maneno yawatoke
 
Hahahahahahahaha yaani dada mdogo umenichekesha hadi basi lol. Maujanja hayo utayapata wapi ilihali umekamtwa ndio mnaingia chumbani mwee. Halafu wakati huo hukutegemea kama utamkuta hapo mkuu wa kaya.

hahahaaa.........! Ujue nini dada mkubwa!? Kwavile nitakuwa sijafumaniwa bali TUMEFUMANIANA lazima nitakuwa na power ya kujitetea!!!!!!
 
hahahaaa.........! Ujue nini dada mkubwa!? Kwavile nitakuwa sijafumaniwa bali TUMEFUMANIANA lazima nitakuwa na power ya kujitetea!!!!!!
Yaani hapo umenifurahisha shuti uso unaukausha kama umetiwa ndimu lol. Ukiwa unachiti lazima na akili uiweke mkao wa emejensi iwapo litatokea la kutokea
 
Upo tayari tuweke mjadala wa hicho ulichokiandika?

Anyway jibu jepesi ni kwamba zinaa ni matokeo ya tamaa, hivyo ili uzini si lazima upende.

Tamaa haian uhusiano wowote na kupenda, unaweza
ukatamani na bado ukawa hujapenda.

UJUE KITENDO KINAITWA KUFANYA MAPENZI! MAPENZI! sasa mapenzi na kupenda unatofautishaje?
 
Yaani hapo umenifurahisha shuti uso unaukausha kama umetiwa ndimu lol. Ukiwa unachiti lazima na akili uiweke mkao wa emejensi iwapo litatokea la kutokea

yaani hapo hakuna kuzubaa na ukizubaa unaweza chezea kichapo wakati wote mmefumaniana!!!!!!!!
 
mfumo dume unasaidia kumuepusha mke kuingia kwenye majanga, mwanaume ni tofauti mno na mwanamke haswa linapokuja swala la kuchukua tahadhari kwenye majanga mbalimbali, mara nyingi mke akitoka nje huwa anajiachia to the maximum, tofauti na mwanaume(ingawa wapo wachache vichwa maji) . mwanamke ni mwepesi ku-ignore hatari haswa anapokuwa amepagawa na mtu, labda itokee bahati huyo mtu awe muangalifu.
Kwa mitazamo ya aina hii wamama wengi wamepoteza maisha kwa kuletewa magonjwa na waume zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom