Trafiki kwanini hawakai kwenye vivuko vya Gari Na treni? Nawakikaa wanasubili kukamata asiyesimama badala uakuongoza magari , wamebaki kukimbizana Na Pikpik kila kukicha, kikosi cha usarama Barabarani wapewe jeshi.
Wapendwa! Msigombane tafadhari, ila nawewe mwenye mgonjwa tunataka ufafanue kuhusu waganga7 kufa, walikuje? Ukizingatia umesema sababu ya maumbile makubwa ya Mzee wako, ndoo maana wasomaji wanaperekea na tangazo/ uchawi
Samani kido kunasentesi cjaielewa vzr, kwamba ukubwa wa maumbile ya mmeo umesababisha vifo vya waganga saba ,je ni waganga wakienyeji au? Naumesababishaje niweke sawa pls
Rudisha imani yko kwa mungu wa mbinguni, km upo dar esalaam muone Mchungaji mmoja anaitwa Paul marekana pale magomeni Kanisa LA wasabato mungu atamsaidia Mzee wako kupitia kwa Mchungaji Huyo hii nikwaimani.
Huyo kambole atakuwa Na mhemuko wa kisiasa TLS nimali ya Uma Uma niwatanzania, syo chama chasiasa, unajua wanataka kuifanya TLS kuwa mari ya chama cha siasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.