Recent content by Jino kwa jinokelele

  1. J

    Gazeti la Jamhuri: RC Makonda afutiwa Ulinzi

    Gazeti LA jamhuri halina vyanzo vya habari saivi !! Mmekoswa taarifa??
  2. J

    Gazeti la Jamhuri: RC Makonda afutiwa Ulinzi

    Hawa jamhuri ckuhizi hawana wakuwapa siri za serikari ndomaana cku hz wanaokoteza habari, Ss akinyang'anywa ulinzi itatusaidia???? Leten habari mhim.
  3. J

    Msaada wa sheria za kazi

    Kisheria mkataba umeji renew upya
  4. J

    GEITA: Panda Kinasa, anayeteka watu apigwa risasi makalioni na kufariki

    Askari pigeni kz, hawa wanaolalamika niwalewale.
  5. J

    GEITA: Panda Kinasa, anayeteka watu apigwa risasi makalioni na kufariki

    Wewe ulitakaje, Dawa nikuacha wizi nawewe km unabisha ? Kaibe
  6. J

    KIGOMA: Basi la Princess Hamida lagonga treni. Watu 10 wafariki na zaidi ya 26 wajeruhiwa

    Trafiki kwanini hawakai kwenye vivuko vya Gari Na treni? Nawakikaa wanasubili kukamata asiyesimama badala uakuongoza magari , wamebaki kukimbizana Na Pikpik kila kukicha, kikosi cha usarama Barabarani wapewe jeshi.
  7. J

    Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

    Mapenzi ya nn tena?? Hata ukitongozwa utakubari?? Pereka mgonjwa akaombewe!! We umesema karogwa ,
  8. J

    Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

    Wapendwa! Msigombane tafadhari, ila nawewe mwenye mgonjwa tunataka ufafanue kuhusu waganga7 kufa, walikuje? Ukizingatia umesema sababu ya maumbile makubwa ya Mzee wako, ndoo maana wasomaji wanaperekea na tangazo/ uchawi
  9. J

    Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

    Samani kido kunasentesi cjaielewa vzr, kwamba ukubwa wa maumbile ya mmeo umesababisha vifo vya waganga saba ,je ni waganga wakienyeji au? Naumesababishaje niweke sawa pls
  10. J

    Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

    Rudisha imani yko kwa mungu wa mbinguni, km upo dar esalaam muone Mchungaji mmoja anaitwa Paul marekana pale magomeni Kanisa LA wasabato mungu atamsaidia Mzee wako kupitia kwa Mchungaji Huyo hii nikwaimani.
  11. J

    TLS ni mali ya umma, sheria ya TLS imetungwa na Bunge

    Huyo kambole atakuwa Na mhemuko wa kisiasa TLS nimali ya Uma Uma niwatanzania, syo chama chasiasa, unajua wanataka kuifanya TLS kuwa mari ya chama cha siasa
Back
Top Bottom