Wewe ni linguistic ,yeye ni Mwanafikizia ,hivyo huwezi elewaWewe mwenyewe hapo ulipo umeona uneandika bonge la kingereza. Lakini sisi malinguistic expert tuliobobea tunakushangaa nakukudharau kuandika kingereza cha kusadikika.
Kazi imeanza, kamanda Chahali anasemaje
Labda?Sidhani kama ni entitlement ya RC kuwa na kikosi cha ulinzi, labda kama kuna tishio la usalama wake. Kama tishio hilo limethibitiwa ni sahihi ulinzi huo kuondolewa
Kasema Dada mange au chahali?
Sasa tatizo hapo liko wapi? Kama huelewi si ukae kimya au uulize?Wewe mwenyewe hapo ulipo umeona uneandika bonge la kingereza. Lakini sisi malinguistic expert tuliobobea tunakushangaa nakukudharau kuandika kingereza cha kusadikika.
KiswanglishHow mlokole anakuwa boss wa usalama wa Taifa?
AiseeAlikuwa undercover tu, sizani kama anaulokole wowote.
Umeiona hiyo
Hakuna adui mkubwa wa Tanzania kama mwananchi mbumbumbu. Hata kama hujui serikali inaendeshwaje, huwezi kujihangaisha kufahamu kuwa ulinzi sio tu usiostahili bali pia mkubwa kupindukia, unakugharimu wewe mlalahoi?Hawa jamhuri ckuhizi hawana wakuwapa siri za serikari ndomaana cku hz wanaokoteza habari, Ss akinyang'anywa ulinzi itatusaidia???? Leten habari mhim.
Chahali, habari yako kaka!!Hakuna adui mkubwa wa Tanzania kama mwananchi mbumbumbu. Hata kama hujui serikali inaendeshwaje, huwezi kujihangaisha kufahamu kuwa ulinzi sio tu usiostahili bali pia mkubwa kupindukia, unakugharimu wewe mlalahoi?
Shut up! Kwani Makonda ana tofauti gani na Mtaka au Makalla mpaka yeye apewe wa ziada? Au mnaogopa asibakwe?watanzania bana wanajadili ulinzi wa makonda!
kama mbowe tu ana mlinzi iweje mwenyekiti wa ulinzi na usalama akose?
ulinzi unakuwepo kulingana na myakati na mazingira,jaribuni kuhatarisha usalama wake muone kama ana ulinzi au hana
Ndo tunamtafuta hewani mkuu....Kazi imeanza, kamanda Chahali anasemaje
Ndo alomuondolea? Ongea km MTU mzima
- Tatizo kangi lugola ana wivu sana.